daniel don
Member
- Jun 28, 2012
- 43
- 3
mpeleke hospitali afanye BARIUM MEAL TEST kwanza
hicho ni kipimo gani mkuu! kinafanyikaje?
Wanafanya hospitali kupima kama ana vidonda vya tumbo. Wakati unasubiri mtafutie ALOE VERA JUICE ya GNLD au uliza katika pharmacies zinauzwa kwa ujazo wa lita moja.[/QU nitafute mi, ntakupatia ukihitaji,niPM TU.
mkuu hyo hali hata mm ninayo sema nimetumia ubuyu umenisaidia sana
nunua mafta ya ubuyu au ubuyu tu wenyewe unamumunya kama pp utaanza kujamba sanaUmetumiaje?