Habari ya asubuhi ndugu zangu
Niende kwenye mada moja kwa moja
Ilianza mwaka juzi mida ya saa 10 usiku nilishtuka tumbo lilikua linanyonga sana huku haja kubwa ikawa inauma.nlipoenda uani nilijisaidia wakati huo tumbo lilikua bado linauma sana ..nlipotoka likawa linazidi ,....baada ya sekunde kadhaa nkajikuta nashtuka nkiwa chini nimelala na jasho zinatoka.
..baada ya hapo nkawa nko vizuri tu
Ikatokea tena mwaka jana... Hayo yote kipindi niko nyumbani
sasa leo pia nimeshtuka usingzini tumbo linauma saana nkaamka huku naenda chooni nkiwa naelekea huko gafla nkapoteza fahamu tena
nashtuka baada ya sekunde kadhaa nakuta npo chini na jasho linantoka,hakuna mpangaji mwenzangu alie niona .
sasa hi husababshwa na nini ila nkisha jisaidia basi
na haijawah tokea mchana mala nyingi asubuh ya sa kum adi saa1
#asant kwa mchango wako.
.
Niende kwenye mada moja kwa moja
Ilianza mwaka juzi mida ya saa 10 usiku nilishtuka tumbo lilikua linanyonga sana huku haja kubwa ikawa inauma.nlipoenda uani nilijisaidia wakati huo tumbo lilikua bado linauma sana ..nlipotoka likawa linazidi ,....baada ya sekunde kadhaa nkajikuta nashtuka nkiwa chini nimelala na jasho zinatoka.
..baada ya hapo nkawa nko vizuri tu
Ikatokea tena mwaka jana... Hayo yote kipindi niko nyumbani
sasa leo pia nimeshtuka usingzini tumbo linauma saana nkaamka huku naenda chooni nkiwa naelekea huko gafla nkapoteza fahamu tena
nashtuka baada ya sekunde kadhaa nakuta npo chini na jasho linantoka,hakuna mpangaji mwenzangu alie niona .
sasa hi husababshwa na nini ila nkisha jisaidia basi
na haijawah tokea mchana mala nyingi asubuh ya sa kum adi saa1
#asant kwa mchango wako.
.