Tumbo kuuma sana

Tumbo kuuma sana

Redrose20

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
213
Reaction score
35
Wadau,jamani naumwa na tumbo sana tena chini ya kitovu,

Linavyouma ni kama nataka kubleed then linakata sana,lilianza jumamosi tarehe 14 ambapo nilitokwa na ute mwingi mpaka leo tarehe 17 ndo linaachia kwa mbaliii..nimeshindwa hata kwenda ofisini kwa jinsi lilivyokua linauma..naombeni msaada litakua tatizo gani?

NOTE:Nilianza period tarehe 1 june.
 
Yaani hilo sio tatizo tukifuata tarehe hapo juu ni kwamba tarehe 14 hadi 17 ulikuwa ovulation na ute kutoka ni kawaida kabisa ndo inavotakiwa,sasa hapo kinachotakiwa ni mazoezi tu ya kawaida na kwa kipindi hiki ndo unaweza pata ujauzito.Yess wakati mwingine ute unakuwa mwingi ila unaweza ukavaa kwa kujistili na kuendelea na kazi kama kawaida.
 
Ahaaaa!!!!! Nmesma medcal lakni nilikuwa sjui kama mwanamke naye anatokaga ute akifikia kipindi flani-flani ahsante mkuu kwaku nfundisha hlo!!!
 
Ahaaaa!!!!! Nmesma medcal lakni nilikuwa sjui kama mwanamke naye anatokaga ute akifikia kipindi flani-flani ahsante mkuu kwaku nfundisha hlo!!!
mhhhhhhhhh aseeee…umesoma medicine ya wapi wewe ndio anatoka ute tena wa aina tofauti kwa kipindi tofauti!!
 
Wadau,jamani naumwa na tumbo sana tena chini ya kitovu,

Linavyouma ni kama nataka kubleed then linakata sana,lilianza jumamosi tarehe 14 ambapo nilitokwa na ute mwingi mpaka leo tarehe 17 ndo linaachia kwa mbaliii..nimeshindwa hata kwenda ofisini kwa jinsi lilivyokua linauma..naombeni msaada litakua tatizo gani?

NOTE:Nilianza period tarehe 1 june.
Mmh pole sana kwa maumivu but naomba nikuulize swali before ya kukusaidia je nikawaida kwako kila unapoingia kuumwa tumbo au ndo mara ya kwanza sasa kusikia maumivu..??
 
Mwinjuma1,hii ni mara yngu ya kwanza kueprience such a pain tangu nimevunja ungo napata maumivu ya kawaida tu pindi nikaribiapo period lkn c km hayo katikati ya mwez pindi nimalizapo prd!
 
Last edited by a moderator:
Yaani hilo sio tatizo tukifuata tarehe hapo juu ni kwamba tarehe 14 hadi 17 ulikuwa ovulation na ute kutoka ni kawaida kabisa ndo inavotakiwa,sasa hapo kinachotakiwa ni mazoezi tu ya kawaida na kwa kipindi hiki ndo unaweza pata ujauzito.Yess wakati mwingine ute unakuwa mwingi ila unaweza ukavaa kwa kujistili na kuendelea na kazi kama kawaida.

asante mkuu mana nilikua na waswas kuhusiana na mambo ya uzaz.
 
Kwa kukushauri tu nenda Hospital ukajue tatizo ni nini coz sisi wanawake tunamaradhi mengi sana sana ya tumbo so huwezi jua kuwa tatizo ni lipi
 
Kwa kukushauri tu nenda Hospital ukajue tatizo ni nini coz sisi wanawake tunamaradhi mengi sana sana ya tumbo so huwezi jua kuwa tatizo ni lipi

asante mumie wng ntalifanyia kaz japo kuanzia trh18 nimepona kbs nakubaliana na gunboot inaweza ikawa kwel ilikua ovulation
 
Kuna Ugonjwa siujui unaitwaje kitaalamu na hiyo ni moja ya dalili zake,Ugonjwa huo wanao wasanii wakubwa sana ambapo umepelekea wao kutopata watoto maisha yao yote na wao wali-confess kupitia vyombo mbalimbali vya habari:-
1.Lady Jaydee
2.Angela Damas
3.Happines Magese
 
Kuna Ugonjwa siujui unaitwaje kitaalamu na hiyo ni moja ya dalili zake,Ugonjwa huo wanao wasanii wakubwa sana ambapo umepelekea wao kutopata watoto maisha yao yote na wao wali-confess kupitia vyombo mbalimbali vya habari:-
1.Lady Jaydee
2.Angela Damas
3.Happines Magese

unaitwa endometroasis,but me nilishamaliza period imetokea katikati ya cku afta period kuanzia trh14 mpk 17 ambapo wanasemaga ni ovulation tym..huo ugonjwa it happens wen unataka kuingia prd ndo unaumwa sn kiac cha kulazwa thn hawatok ute,km umesoma vzr thread yng opful umenipata!
 
Back
Top Bottom