Tumbo kuunguruma na kukosa hamu ya kula usiku

Nickson Swai

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
597
Reaction score
549
Habari zenu mimi naitwa Nickson Swai naombeni msaada wenu nna matatizo yafuatayo kwanza kupata choo ambacho kimevurugika(kuharisha),tumbo kuunguruma ,hamu ya kula usiku haipo na pia kila ninapolala usiku wakati mwengine tumbo kuunguruma mtu anahisi kwamba umechafua hali ya hewa mpaka mama mwenye nyumba anasema uende chooni wakati sijiskii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…