Sijali JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 2,672 Reaction score 1,814 Jan 24, 2013 #1 Nini sababu ya tumbo kuunguruma kwa muda mrefu?
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,095 Jan 24, 2013 #2 Vp una jamba jamba pia?
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Jan 24, 2013 #3 Yaweza kuwa ni vidonda vya tumbo..
Shine JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 11,481 Reaction score 1,368 Jan 24, 2013 #4 Ama inatokana na kutumia vitu vinavyojaza tumbo gesi, jitahidi kunywa maji na kula matunda
Sijali JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 2,672 Reaction score 1,814 Jan 24, 2013 Thread starter #5 TIQO said: Vp una jamba jamba pia? Click to expand... Hapana.
Sijali JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 2,672 Reaction score 1,814 Jan 24, 2013 Thread starter #6 Shine said: Ama inatokana na kutumia vitu vinavyojaza tumbo gesi, jitahidi kunywa maji na kula matunda Click to expand... Asante, ila naona si hiyo sababu, maana nafanya hayo, pia ni mwangalifu sana wa diet yangu. Imenianza mara tu baada ya kutoka likizo Bongo!
Shine said: Ama inatokana na kutumia vitu vinavyojaza tumbo gesi, jitahidi kunywa maji na kula matunda Click to expand... Asante, ila naona si hiyo sababu, maana nafanya hayo, pia ni mwangalifu sana wa diet yangu. Imenianza mara tu baada ya kutoka likizo Bongo!
wajingawatu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2013 Posts 2,046 Reaction score 2,453 Jan 24, 2013 #7 Pima choo (stool) kwani tatizo inawezakuwa limesababishwa na giardia, minyoo au amoeba
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,095 Jan 24, 2013 #8 Wahi kapime taifodi kabla hujafunga choo
Sijali JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 2,672 Reaction score 1,814 Jan 25, 2013 Thread starter #9 TIQO said: Wahi kapime taifodi kabla hujafunga choo Click to expand... Asante kwa ushauri, nitaanza kwa kupima choo
TIQO said: Wahi kapime taifodi kabla hujafunga choo Click to expand... Asante kwa ushauri, nitaanza kwa kupima choo