Anayo maradhi yanaitwa kwa kiingereza Morning sickness ugonjwa wa asubuhi mwambie achemshe chai ya tangawizi anywe atapona.Habari Wana JF,
Mke wangu ana ujauzito wa miezi mitatu hivi,
Mara nyingi anakua analalamika kua "tumbo linakua linavuruga",
Naombeni ushauri wadau labda je hii ni ishara ya kawaida tu kwa mjamzito, au ikiwa hivyo ni dalili kua kuna shida!!!???,
Naombeni ushauri wa awali juu ya hili,
Ahsante