Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Mungu ni Alfa na Omega. Sijui ikiwa CCM ni lango la ufalme wa mbinguni wanaheri wanaoikimbilia! Ole wenu ikiwa CCM ni lango la kuzimu nisawa na kumwabudu mfalme Sanekarebu kwa kuogopa kuuawa!!
Nimemuona Ambwene Mwasongwe, Bella Kombo, Christina Shusho, Martha Mwaipaja, Askofu Anthony Lusekelo, Kuhani Musa, Boniface Mwamposa na maaskofu lukuki
Ni jambo jema ikiwa CCM imesimama kwa mkono wa Mungu lakini ole wenu ikiwa CCM ni lango la mkuu wa Giza
Mtaukumbuka ujumbe huu baada uchaguzi, Mungu atawararua vibaya sana na mkono wake hautakuwa na huruma juu yenu
Amina
Nimemuona Ambwene Mwasongwe, Bella Kombo, Christina Shusho, Martha Mwaipaja, Askofu Anthony Lusekelo, Kuhani Musa, Boniface Mwamposa na maaskofu lukuki
Ni jambo jema ikiwa CCM imesimama kwa mkono wa Mungu lakini ole wenu ikiwa CCM ni lango la mkuu wa Giza
Mtaukumbuka ujumbe huu baada uchaguzi, Mungu atawararua vibaya sana na mkono wake hautakuwa na huruma juu yenu
Amina