Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Jana nilikuwa na safari ya Dsm - Dodoma ndani ya basi la abiria. Ni basi la daraja la tatu, basi la watu wa kawaida tu.
Wakati tunaondoka Magufuli stendi, mvua ilikuwa inanyesha sana. Ndani ya dakika kama 20 tukiwa kwenye mwendo, tumbo likaanza kuunguruma mdogo mdogo. Nikalichukulia poa.
Aisee, gari tulivyokuwa tunatembea muungurumo wa tumbo ukawa mkubwa sana. Tumbo la kuhara.
Nikaomba dreva nishuke nijusaidie, hanielewi, mvua inanyesha na ni maeneo ambayo huwezi kupata choo.
Aisee, nilishuka Mlandizi wao wakaendelea na safari.
Wakati tunaondoka Magufuli stendi, mvua ilikuwa inanyesha sana. Ndani ya dakika kama 20 tukiwa kwenye mwendo, tumbo likaanza kuunguruma mdogo mdogo. Nikalichukulia poa.
Aisee, gari tulivyokuwa tunatembea muungurumo wa tumbo ukawa mkubwa sana. Tumbo la kuhara.
Nikaomba dreva nishuke nijusaidie, hanielewi, mvua inanyesha na ni maeneo ambayo huwezi kupata choo.
Aisee, nilishuka Mlandizi wao wakaendelea na safari.