Tumbo la uschana

Tumbo la uschana

ze encyclopedia

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2011
Posts
316
Reaction score
180
Habari wana jf! Nina mdogo wangu yaani zikifika zile tarehe zao huwa anatusumbuasana, yaani sindano za pain killer , hadi drip za pain killler na sometime kulazwa,ila zikipita anapona kabsaa. Je kuna tiba mbadala ya kuzuia hayo maumivu? Maana hosp wanasema hakuna dawa
 
Back
Top Bottom