Tumbo langu lina gesi

msheba

Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Ni vyakula gani vitasaidia kupunguza gesi tumboni?
 
Hiyo gesi imekusumbua leo tu au ni kila siku tumbo la gesi linakukamata??

Kama ni kwa leo tu tafuta zile dawa waswahili wanaita "magnesium"
 
Ila nikila mihogo, ndizi mbichi na aina zote za kunde ndo huwa linasumbua na mashuzi kwa wingi..
 
Kwangu kawaida sn hzo gesi,nikinywa beer,soda leo kesho hata nikinywa maj ni gas kwa kwenda mbele!nimejaribu beer aina km 6 hakuna afadhar(c lager,k'njaro,chui,knana,c lite,ndov)hakuna nafuu
 
tafuta mwekezaji hlo deal.we si umeona ntwara walivyo andamana!
 
Unaumwa hali ya ugonjwa unaoitwa hyperacidity ambao ni dalili kati ya magonJwa haya hapa
1.PUD(peptic ulcer disease)-naomba u google utapata info zaid
2.Gastritis(google)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Unaumwa hali ya ugonjwa unaoitwa hyperacidity ambao ni dalili kati ya magonJwa haya hapa
1.PUD(peptic ulcer disease)-naomba u google utapata info zaid
2.Gastritis(google)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mkuu mi nina tatizo kama hilo nimewahi pima pale PHATFARM INTERNATIONAL kipimo cha mwili mzima na wakasema nina PEPSIN nyingi mwilini,tatizo ni dawa zao ni ghali sana je waweza nishauri?
 
mkuu mi nina tatizo kama hilo nimewahi pima pale PHATFARM INTERNATIONAL kipimo cha mwili mzima na wakasema nina PEPSIN nyingi mwilini,tatizo ni dawa zao ni ghali sana je waweza nishauri?

Mbona mwanitisha
 
Mbona mwanitisha

..inaweza kuwa tatizo kubwa kuliko unavyofikiri,kuna jamaa walikuwepo ubungo bus stand ya daladala na gari la matangazo last week walikuwa wanapima watu na kuwapatia dawa za asili na magonjwa lengwa yalikuwa ni pamoja na gesi na ulcers,sijajua km watakuwa bado wapo.....
 
Ni vyakula gani vitasaidia kupunguza gesi tumboni?

Dawa ya kuondosha tumbo kujaa Gesi fanya hivi:

(1)Chukua dawa inayoitwa shomari ujazo wa kijiko kimoja ioshe halafu uwe unatafuna kama karanga

(2) Tafuna punje moja ya kitunguu Saumu asubuhi mchana na usiku utapona.

(3) Kunywa maji ya uvuguvugu kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu glasi 3 na mchana glasi 2 kabla ya kula kitu na usiku glasi 2 kabla ya kula kitu na usiku wakati wakulala kunywa Maji ya uvuguvugu glasi ya Maji kwa muda wa siku 7 kisha njoo hapa utueleze je bado unayo Gesi ya tumbo?
 
Hiyo shomari ni nini tafadhari?
 
Usipokuwa makini na tiba utapoteza kabisa nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…