Tumbo limeanza

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
21,329
Reaction score
28,063
Wanajamvi mpo salama?
Nina mpenzi wng naona tumbo limeanza kumtoka,yaani ananenepa tumbo.Atumie nini ili kulidhibiti?kwani mazoezi hataki.
Ushauri wenu nitazingatia.
 
Aache kula chips kitimoto bia halafu awe anafanya mazoezi ya mwili.ili ku burn mafuta halafu awe anajitahidi kunywa maji ya vuguvugu akiweza akamulie limao tumbo litakuwa flat
 
Wanajamvi mpo salama?
Nina mpenzi wng naona tumbo limeanza kumtoka,yaani ananenepa tumbo.Atumie nini ili kulidhibiti?kwani mazoezi hataki.
Ushauri wenu nitazingatia.

We umemshindwa sisi tutamuweza?
 
atumie maji ya betri yatamsaidia

Upumbavu huwa sipendi,toa tabia zako za kitoto za fb huku.
Mods hawa watu wa tabia hii tunataka hatua ziwe zinachukuliwa,sii kitu cha kukifumbia macho hiki.Jf inaharibiwa kwa mambo kama haya,ndo maana kumewekwa majukwaa tofauti ili watu waweze kubadilishana mawazo na si upuuzi wa kujibu watu ovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…