Tumbo linamsumbua, amekula samaki na maziwa nini dawa yake?

Endelea tu kula hivyo unavyo kula unaweza kupatwa ugonjwa wa ukoma siku za mbele au ukazaa mtoto mwenye ugonjwa wa ukoma Mkuu Jimena jihadhari sana kula maziwa na hapo hapo ukala mayai au kula samaki kisha ukala mayai hapo hapo au kula kula maziwa mayaina samaki kwa wakati mmoja unaweza kupatwa an ugonjwa ambao usioweza kutibika Mahospitalini Shauri yako. Ni uchaguzi wako mimi simo.
 

Hamna kitu kama hicho. Ingekuwa hivyo kwetu wote tungekuwa na matatizo hayo ya Ukoma n.k
Hizo ni imani tu, mi nilidhani una ushahidi.
Shukrani sana anyway
 
Sasa kama ni kipindupindu humu JF utapata tiba mkuu????
 
Hamna kitu kama hicho. Ingekuwa hivyo kwetu wote tungekuwa na matatizo hayo ya Ukoma n.k
Hizo ni imani tu, mi nilidhani una ushahidi.
Shukrani sana anyway
Ninao ushahidi ningekupa lakini wewe unavyopinga Sitoweza kukuapa faida bora wangepatikana watu kama nyinyi watu 100 wapingaji ingelikuwa ni vizuri Wauza madawa wa Pharmacy wapate wateja wengi mupate kuumwa watu wengi na ikishindikana kutibiwa kwa Dawa za sumu za Hospitali muje mututafute na Sisi wataalam wa mitishamba tupate pesa zenu asante sana. Endelea kunywa Maziwa na Mayai kwa pamoja faida yake utaiona muda sio mrefu. Bibie Jimena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…