Nunua asali mbichi na unga wa mdalasini pamoja na unga wa tangawizi. Changanya uwiano kama ifuatavyo: chukua nusu kijiko unga wa tangawizi, Vijiko viwili unga wa mdalasini na asali vijiko vitatu. Changanya mkorogo huo vizuri na uwe unalamba kila siku kadiri unavyoweza muda mchache kabla ya kulala usiku. Utagundua kuwa baada ya kula huu mkorogo kutakua na milipuko ya hapa na pale namaanisha pyuuuuuuu! kwa sana.
Tumia Kijiko kikubwa katika vipimo na uwiano kama hapo juu, hakikisha unapata asali mbichi, mdalasini uwe ya India na tangawizi safi
Fanya hivyo ndani ya siku saba na tatizo lako litakuwa limekwisha.