Tumbo linaniuma baada ya tendo

Yieen

Senior Member
Joined
May 8, 2012
Posts
103
Reaction score
27
Habar ndg zangu ....naombeni Msaada kwa anae jua tiba kwa tatizo ninalo pata,,, mm kila nikimaliza kufanya tendo la ndoa na mume wangu tumbo huwa linaniuma kwa muda Kama Dk 10 au robo saa ivi alafu ndio linatulia ,sijajua nn tatizo kwa anaejua tafadhali anisaidie jamani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…