samtot JF-Expert Member Joined Sep 18, 2013 Posts 258 Reaction score 148 Nov 5, 2013 #1 Salaam ndugu zangu, nimeona niandike ili kupata maelezo kutoka kwa wale wanaofahamu. Nimeona kuna wakati ninapokunywa maji mengi tumbo linajaa (kwa nje linaonekana limeongezeka) na huwa inaninyima raha. Je, yaweza kusababishwa na nini? Asante
Salaam ndugu zangu, nimeona niandike ili kupata maelezo kutoka kwa wale wanaofahamu. Nimeona kuna wakati ninapokunywa maji mengi tumbo linajaa (kwa nje linaonekana limeongezeka) na huwa inaninyima raha. Je, yaweza kusababishwa na nini? Asante
TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Nov 5, 2013 #2 Inasababishwa na kunywa maji mengi..... Hasa pale unapokunywa kwa wakati mmoja....
samtot JF-Expert Member Joined Sep 18, 2013 Posts 258 Reaction score 148 Nov 5, 2013 Thread starter #3 Asante