Tumbo

Bebz

Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
80
Reaction score
12
Habari.

Naombeni msaada wenu. Chini ya tumbo langu mkono wa kushoto nasikia kama kitu kinatetemeka/kucheza hivi hakiumi wala nini lakini pia sijui jinsi ya kukielezea kwa ufasaha lakini kinakuja na kuondoka. Je linaweza kuwa tatizo au? Maana kuna muda mwingine kinacheza sana.

Asanteni in advance.
 
Jamiiforum bwana!! Ngoja na mimi nimalizie kutengeneza uzi wa Kinachoniuma...
 
If you can not help kaa pembeni please na si lazima ucomment every post. Asante
 
Bebz Pole sana. Ingekuwa upande wa kulia yamkini ingewezakuwa ni kidole tumbo. Ushauri wangu ni wahi hosipitali mapema. Ukichelewa, tatizo linaweza kuwa kubwa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…