NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 597
1.wana Jf naomba wataalamu wa masuala ya kisiasa especially uchaguzi; kunafaida gani na hasara gani kwa kutokuwa na tume huru ya uchaguzi?
2.kwanini katiba mpya haizungumzii time guru ya uchaguzi? Kuna siri gani hapa iliyojificha?
3.kwanini katiba mpya haizungumzii kuhusu kupunguzwa kwa madaraka ya rais?
naomba ufafanuzi kwa manufaa ya Tanzania ijayo. ushabiki wa vyama wekeni kando.
2.kwanini katiba mpya haizungumzii time guru ya uchaguzi? Kuna siri gani hapa iliyojificha?
3.kwanini katiba mpya haizungumzii kuhusu kupunguzwa kwa madaraka ya rais?
naomba ufafanuzi kwa manufaa ya Tanzania ijayo. ushabiki wa vyama wekeni kando.