Tume Huru ya Uchaguzi siyo kwa ajili ya vyama vya siasa pekee, ndio sababu Msingi wake ni lazima ujengwe kwenye Katiba Mpya

Tume Huru ya Uchaguzi siyo kwa ajili ya vyama vya siasa pekee, ndio sababu Msingi wake ni lazima ujengwe kwenye Katiba Mpya

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tume Huru ya Uchaguzi duniani kote ina majukumu mengi sana, chaguzi za kisiasa ni sehemu ndogo tu ya majukumu yake.

Huko duniani Tume Huru huombwa kusimamia hata chaguzi za viongozi wa dini na chaguzi za viongozi wa wanafunzi vyuoni.

Kenya kwa mfano hata uchaguzi wa viongozi wa chama cha wanasheria husimamiwa na Tume Huru.

Ni mtu mwenye ubongo bila akili ndio atafikiria Tume huru ya uchaguzi ni ya wanasiasa hivyo inaweza kuanzishwa hata na walevi tu wakiwa pale Chako ni Chako.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tume Huru ya Uchaguzi duniani kote ina majukumu mengi sana, chaguzi za kisiasa ni sehemu ndogo tu ya majukumu yake.

Huko duniani Tume Huru huombwa kusimamia hata chaguzi za viongozi wa dini na chaguzi za viongozi wa wanafunzi vyuoni.

Kenya kwa mfano hata uchaguzi wa viongozi wa chama cha wanasheria husimamiwa na Tume Huru.

Ni mtu mwenye ubongo bila akili ndio atafikiria Tume huru ya uchaguzi ni ya wanasiasa hivyo inaweza kuanzishwa hata na walevi tu wakiwa pale Chako ni Chako.

Maendeleo hayana vyama!
Zitto ni mamluki na genge lake la matapeli akina Nondo
 
Tume Huru ya Uchaguzi duniani kote ina majukumu mengi sana, chaguzi za kisiasa ni sehemu ndogo tu ya majukumu yake.

Huko duniani Tume Huru huombwa kusimamia hata chaguzi za viongozi wa dini na chaguzi za viongozi wa wanafunzi vyuoni.

Kenya kwa mfano hata uchaguzi wa viongozi wa chama cha wanasheria husimamiwa na Tume Huru.

Ni mtu mwenye ubongo bila akili ndio atafikiria Tume huru ya uchaguzi ni ya wanasiasa hivyo inaweza kuanzishwa hata na walevi tu wakiwa pale Chako ni Chako.

Maendeleo hayana vyama!
WENYE AKILI KUBWA TUNATAKA KATIBA MPYA KWANZA
 
Kinacho nishangaza mimi kwanini kama Zitto anapambana na wale wanaodai katiba mpya? kama yeye anadai tume huru si aendelee kudai na wanaodai katiba mpya waendelee kudai.

Kwani tatizo liko wapi?
Umenena vema kabisa bwashee!
 
Tume Huru ya Uchaguzi duniani kote ina majukumu mengi sana, chaguzi za kisiasa ni sehemu ndogo tu ya majukumu yake.

Huko duniani Tume Huru huombwa kusimamia hata chaguzi za viongozi wa dini na chaguzi za viongozi wa wanafunzi vyuoni.

Kenya kwa mfano hata uchaguzi wa viongozi wa chama cha wanasheria husimamiwa na Tume Huru.

Ni mtu mwenye ubongo bila akili ndio atafikiria Tume huru ya uchaguzi ni ya wanasiasa hivyo inaweza kuanzishwa hata na walevi tu wakiwa pale Chako ni Chako.

Maendeleo hayana vyama!
Madini haya yanafuatia baada ya Tanzanite kugunduliwa na kuchimbwa kule Mirerani.
 
Tume huru ya uchaguzi lazima misingi yake ijengwe kwenye katiba mpya, huo ndo ukweli hata kama ni mchungu kwa amaleki na wengineo.............
Kama Samia angekua nchi nyingine amesoma na kuelimika, akatazama alivyokua kiongozi kwenye kamati za katiba mpya, na nafasi aliopata sasa ya kuwa Rais wa nchi. Na akaangalia miaka mia mbele, hii nchi ingekua na historia za viongozi wa heshima wawili tu.

Nyerere kuleta Uhuru na Umoja , na Samia Rais mwanamke alietuletea katiba mpya na bora.

Na kuna tunzo zile za heshima za Afrika kwa kiongozi alieheshimu demokrasia Afrika. Muda sasa hazijapata mshindi , Samia angebeba.

Lakini ndio hivyo tena Nchi imejamba hii, na viongozi wetu ndio hao kina Majaliwa waongo waongo na matapeli ndio washauli wa Samia.
 
Tume Huru ya Uchaguzi duniani kote ina majukumu mengi sana, chaguzi za kisiasa ni sehemu ndogo tu ya majukumu yake.

Huko duniani Tume Huru huombwa kusimamia hata chaguzi za viongozi wa dini na chaguzi za viongozi wa wanafunzi vyuoni.

Kenya kwa mfano hata uchaguzi wa viongozi wa chama cha wanasheria husimamiwa na Tume Huru.

Ni mtu mwenye ubongo bila akili ndio atafikiria Tume huru ya uchaguzi ni ya wanasiasa hivyo inaweza kuanzishwa hata na walevi tu wakiwa pale Chako ni Chako.

Maendeleo hayana vyama!
Watasema auna ubongo..!
 
Kama Samia angekua nchi nyingine amesoma na kuelimika, akatazama alivyokua kiongozi kwenye kamati za katiba mpya, na nafasi aliopata sasa ya kuwa Rais wa nchi. Na akaangalia miaka mia mbele, hii nchi ingekua na historia za viongozi wa heshima wawili tu.

Nyerere kuleta Uhuru na Umoja , na Samia Rais mwanamke alietuletea katiba mpya na bora.

Na kuna tunzo zile za heshima za Afrika kwa kiongozi alieheshimu demokrasia Afrika. Muda sasa hazijapata mshindi , Samia angebeba.

Lakini ndio hivyo tena Nchi imejamba hii, na viongozi wetu ndio hao kina Majaliwa waongo waongo na matapeli ndio washauli wa Samia.
Rais wa Zambia atabeba hiyo soon
 
Kinacho nishangaza mimi kwanini kama Zitto anapambana na wale wanaodai katiba mpya? kama yeye anadai tume huru si aendelee kudai na wanaodai katiba mpya waendelee kudai.

Kwani tatizo liko wapi?
Tatizo Zitto ni mzito kwa hoja zake tofauti na hao wanaotaka katiba mpya Bila ya kuwa na uzito wa hoja ya tunaifikia vipi hiyo katiba mpya


Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom