Tume na Kamati hizi zote za nini?

hahaha mimi nadhani inabidi tuunde tume kukuchunguza mchungaji kwanini unapinga uundwaji wa tume muhimu katika Taifa letu.

teh teh teh

nashaui iundwe tume ya kuchunguza tume zilizoshindwa kufanya kazi na kutoa ripoti sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…