Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
Kwa maana hiyo cv zitizamwe kikabila zaidi siyo? Hebu nishawishi zaid nikuelewe. Kwa kifupi kama huo ndo mtazamo wako utahangaika sana! Hao unaowasema katizame cv zao kama hutakimbia! kufaulu wafaulu wao kazi mpate wengine! eti ukabila!!!! Yaani utadhani ni hawa ndugu zangu wanaotaka usahishwaji wa mitihani uzingatie nanihiii badala ya majibu sahihi? Hebu achaga hizo zilishapitwa na wakati!
nani kakudanganya mkuu hakuna ufair wowte sema tu msiojua chini ya kapeti kuna nini ndio mtasema saizi kuna ufairkwa mara ya kwanza nimegundua kuwa kupitia TUME ya ajira fairness is observed, tofauti na hapo nyuma ambapo ilikuwa kazi inatangazwa tayari ishakuwa na mwenyewe. Naona hali itakuwa shwari muda si mrefu, na kila aliye na sifa za kuajiriwa ataajiriwa kulingana na sifa alizonazo. My take
hey
najua kuna makabila yanafaidi hii nchi, kama shemeji zangu wa KIBOROLONI, NA BIHARAMULO.......
sasa na mimi MMAKONDE wa NEWALA nataka kazi hiyo ya UAFSA PESA.. wa mangi....
mfano: asilimia 99% ya wasomi vijana wa hapa MTWARA VIJIJINI hawana kazi za maana, hakuna wa kuwabeba!!
Yaan makampuni ya mafuta, gesi, uvuvi na cement ni wageni tupuuuu""!!!!!!
MTWARA OYEEEEEEEEEEEEEEEeeeeddde
nani kakudanganya mkuu hakuna ufair wowte sema tu msiojua chini ya kapeti kuna nini ndio mtasema saizi kuna ufair