Tume ya katiba inawadanganya na kuwaburuza watanzania

Tume ya katiba inawadanganya na kuwaburuza watanzania

Geofrey Andrew Sanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2013
Posts
251
Reaction score
55
Mwenzenu nasikitishwa na tume hii ya katiba inayoongozwa na mzee wetu walioba kukusanya maoni kwa watanzania juu ya katiba mpya huku watanzania wengi wakiwa hawaijui hata ya zamani inasemaje? kwa maoni yangu walipaswa kutuelimisha kwanza ile ya zamani inasemaje? ndipo watuulize tunasemaje juu ya katiba mpya.

Ajabu zaidi ni pale mzee walioba alipotoa rasmu ya katiba mpya na kutaka watz waijadili na kutoa maoni ya kuiboresha huku upatikaji wake ukiwa majabu matupu nakumbuka walisema sema kuwa rasmu hizo zitakuwa zinapatikana kwenye ofisi za wakuu wa wilaya kumbe ilikuwa kamba tupu kwani jana tarehe 23/6/2013 nilienda mwenyewe katika ofisi ya mkuuwa wilaya ninayoishi yaani mbeya mjini nikaambiwa hazipo najiuliza kama hazipo jiji kama hapa je huko mbali na vijijini zitafika lini?

Ushauri wa bure kwa tume kwanini wasigawe hizo rasmu za katiba kwa watanzanaia kwa mtindo kama wa kuuza magazeti yaani hata ikibidi wagawe kwa wauza magazeti tujangie hata kama ni kwa hera labda hata mia tano ambayo watania wengi wataimudu kuliko kutudanganya kuwa rasmu zinapatikana bure kumbe hazipo kabisa

NB:- JANA NILIULIZIA KATIKA OFISI YA MKUUWA WA WILAYA MBEYA NIKAKOSA.
OFISI YA DAS MBEYA NIKAKOSA
NA MASIJALA MBEYA NIKAKOSA
KAMA KUNA MWENYE NAYO HAPA MBEYA MJINI ANIUZIE HATA KAMA HAIUZWI NITANUNUA KWA MASLAHI YA TAIFA ANIPIGIE 0764986092
 
Katiba nzuri haiwezi kupatikana chini ya utawala wa ccm uliojaa dhuluma na ufisadi.
 
Sasa wewe mleta mada kukosa nakala ya rasimu wilayani basi unamalizia kua tume inawadanganya na kuwaburuza watanzania?!!! Mwingine bila haya anasema huwezi kupata katiba mpya chini ya utawala wa ccm, kama vile chini ya chama chake ndipo katiba mpya itapatikana, bila kukumbuka walitengeneza rasimu yao ya katiba ya tanzania nbila hata kukusanya maoni ya wananchi ambapo ni kinyume na utawala wa kidemokrasia. Najua nyie ni wale mnaotambua kuwa upatikananaji wa katiba mpya ni ushindi wa ccm.

Baada ya rasimu hiyo kutoka nilishangaa magazeti fulanifulani na wanasiasa fulanifulani wakiishadadia na kusema hiyo ndiyo yenyewe na ndiyo mwiba kwa ccm na kuwahamasisha wananchi kuikubali badala ya kuwahamasisha wananchi kuitafuta rasimu, kuisoma kwa umakini na kisha kuitolea maoni kwa uelewa wa kila mmtu. Nilimpenda sana mwlimu Prof. Shivji alivyotoa mhadhara wake na kueleza yeye alivyoielewa rasimu na kutuachia tutafakari wenyewe. na Tuache tabia ya kuwwambia wananchi wafikirie nini bali wafikirie vipi!!
 
Mwenzenu nasikitishwa na tume hii ya katiba inayoongozwa na mzee wetu walioba kukusanya maoni kwa watanzania juu ya katiba mpya huku watanzania wengi wakiwa hawaijui hata ya zamani inasemaje? kwa maoni yangu walipaswa kutuelimisha kwanza ile ya zamani inasemaje? ndipo watuulize tunasemaje juu ya katiba mpya.

Ajabu zaidi ni pale mzee walioba alipotoa rasmu ya katiba mpya na kutaka watz waijadili na kutoa maoni ya kuiboresha huku upatikaji wake ukiwa majabu matupu nakumbuka walisema sema kuwa rasmu hizo zitakuwa zinapatikana kwenye ofisi za wakuu wa wilaya kumbe ilikuwa kamba tupu kwani jana tarehe 23/6/2013 nilienda mwenyewe katika ofisi ya mkuuwa wilaya ninayoishi yaani mbeya mjini nikaambiwa hazipo najiuliza kama hazipo jiji kama hapa je huko mbali na vijijini zitafika lini?

Ushauri wa bure kwa tume kwanini wasigawe hizo rasmu za katiba kwa watanzanaia kwa mtindo kama wa kuuza magazeti yaani hata ikibidi wagawe kwa wauza magazeti tujangie hata kama ni kwa hera labda hata mia tano ambayo watania wengi wataimudu kuliko kutudanganya kuwa rasmu zinapatikana bure kumbe hazipo kabisa

NB:- JANA NILIULIZIA KATIKA OFISI YA MKUUWA WA WILAYA MBEYA NIKAKOSA.
OFISI YA DAS MBEYA NIKAKOSA
NA MASIJALA MBEYA NIKAKOSA
KAMA KUNA MWENYE NAYO HAPA MBEYA MJINI ANIUZIE HATA KAMA HAIUZWI NITANUNUA KWA MASLAHI YA TAIFA ANIPIGIE 0764986092

Usingoje rasmu ya katiba huko, kama umeweza
kuingia JF unaweza download katiba ktk jukwaa la katiba Mapya. Usilalamike.
 
MUKHTADHA WA MAWAZO YAKO UMEJENGWA NA MAWAZO TEGEMEZI YA KILA SIKU. HUU WIMBO UNAOUIMBA NI WA WATU WASIOFANYA JITIHADA YOYOTE. RASMU ZA KATIBA ZIPO KWENYE MTANDAO , MAKTABA NK. HEAding YAKO HAILINGANI na maelezo uliyotoa hebu rudi kaiandike upya kaza buti bwana sanga usikurupuke kuandika tu ili mradi uonekane umeandika period
 
Mwenzenu nasikitishwa na tume hii ya katiba inayoongozwa na mzee wetu walioba kukusanya maoni kwa watanzania juu ya katiba mpya huku watanzania wengi wakiwa hawaijui hata ya zamani inasemaje? kwa maoni yangu walipaswa kutuelimisha kwanza ile ya zamani inasemaje? ndipo watuulize tunasemaje juu ya katiba mpya.

Ajabu zaidi ni pale mzee walioba alipotoa rasmu ya katiba mpya na kutaka watz waijadili na kutoa maoni ya kuiboresha huku upatikaji wake ukiwa majabu matupu nakumbuka walisema sema kuwa rasmu hizo zitakuwa zinapatikana kwenye ofisi za wakuu wa wilaya kumbe ilikuwa kamba tupu kwani jana tarehe 23/6/2013 nilienda mwenyewe katika ofisi ya mkuuwa wilaya ninayoishi yaani mbeya mjini nikaambiwa hazipo najiuliza kama hazipo jiji kama hapa je huko mbali na vijijini zitafika lini?

Ushauri wa bure kwa tume kwanini wasigawe hizo rasmu za katiba kwa watanzanaia kwa mtindo kama wa kuuza magazeti yaani hata ikibidi wagawe kwa wauza magazeti tujangie hata kama ni kwa hera labda hata mia tano ambayo watania wengi wataimudu kuliko kutudanganya kuwa rasmu zinapatikana bure kumbe hazipo kabisa

NB:- JANA NILIULIZIA KATIKA OFISI YA MKUUWA WA WILAYA MBEYA NIKAKOSA.
OFISI YA DAS MBEYA NIKAKOSA
NA MASIJALA MBEYA NIKAKOSA
KAMA KUNA MWENYE NAYO HAPA MBEYA MJINI ANIUZIE HATA KAMA HAIUZWI NITANUNUA KWA MASLAHI YA TAIFA ANIPIGIE 0764986092
KATIBA MPYA UNAISUMBUKIA NINI? Hiyo siyo rasimu ya wananchi bali ya wachache tuu. Hakuna la maana kabisaa katika matokeo aliyoyatoa Jose na salum. wote wamefunika mambo muhimu ya kulinda mali ya taifa, nguvu ya raisi,kufuta rushwa, uhuru wa mahakama na adhabu ya ikifo. Ndugu yangu bila hayo kuwepo katika katiba mpya , corruption itatuuua kama nyasi katika moto.

gharama alizotumia tume ya jose na salumu kutafuta maoni ya katiba kwa watu hazilingani na ufunuo wake. Hivyo Jose na salumu wametutapeli . wewe ndugu yangu hapo MBY, sali tuu na kuomba yatokee kama yalivyotokea mwaka 1992 kuuwawa kwa ukomunisti.
 
Sasa wewe mleta mada kukosa nakala ya rasimu wilayani basi unamalizia kua tume inawadanganya na kuwaburuza watanzania?!!! Mwingine bila haya anasema huwezi kupata katiba mpya chini ya utawala wa ccm, kama vile chini ya chama chake ndipo katiba mpya itapatikana, bila kukumbuka walitengeneza rasimu yao ya katiba ya tanzania nbila hata kukusanya maoni ya wananchi ambapo ni kinyume na utawala wa kidemokrasia. Najua nyie ni wale mnaotambua kuwa upatikananaji wa katiba mpya ni ushindi wa ccm.

Baada ya rasimu hiyo kutoka nilishangaa magazeti fulanifulani na wanasiasa fulanifulani wakiishadadia na kusema hiyo ndiyo yenyewe na ndiyo mwiba kwa ccm na kuwahamasisha wananchi kuikubali badala ya kuwahamasisha wananchi kuitafuta rasimu, kuisoma kwa umakini na kisha kuitolea maoni kwa uelewa wa kila mmtu. Nilimpenda sana mwlimu Prof. Shivji alivyotoa mhadhara wake na kueleza yeye alivyoielewa rasimu na kutuachia tutafakari wenyewe. na Tuache tabia ya kuwwambia wananchi wafikirie nini bali wafikirie vipi!!

Hilo nalo nenoo!
Still kukosekana kwa rasimu mijini ni wazi kua hata vijijini hazipo. So huu ni uzembe mkubwa sana! Kwa nini tusiseme CCM wanahusika, wakati wao ndio wenye madaraka? Moreover sisi wengine HATUNA CHAMA!
Kwa nini rasimu zisipatikane kwa wananchi?
 
Back
Top Bottom