Tume ya katiba ndani ya jiji la arusha

Tume ya katiba ndani ya jiji la arusha

HUGO CHAVES

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
2,045
Reaction score
549
Kutokana na ratiba ya tume ya kukusanya maoni ya katiba ,leo ijumaa tume ipo jiji la arusha pale katika viwanja vya ngarenaro sekondari ,wananchi wa arusha fikeni mtoe maoni yenu juu ya katiba mpya .ukisoma hapa mkumbushe na mwenzako
 
Wasisahau kutoa maoni ya kumpunguzia madaraka rais. Mawaziri wasitokane na wabunge. Wakuu wa wilaya wafutwe. Pia tunataka serikali za majimbo. Toeni maoni ambayo yataandaa bright future ya watanzania.
 
Back
Top Bottom