Tume ya Kuchunguza kadhia ya Law School inapaswa kuwa huru


Kuwapa umuhimu watu ambao uwezo wao wa kuchakata mambo si zaidi ya u Yanga na u Simba ni kupoteza muda.
 
Si kila mtu anaweza kuelewa kinachoongelewa hapa. Wenye akili zao wameelewa na sasa wanaongelea umuhimu wa tume.

Wengine hata mkikaa kwa kutulia tu mkaendelea na mada zenu za Simba na Yanga kwani kuna ubaya gani ndugu?
Wenye akili zao wanakuona kilaza mkuu.

Unapambania ujinga.
 
Unahojahoja? Kwan LST ilianzishwa na udsm??Na Kwanini walimu wa udsm wamedominate Hapo LST?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…