DOKEZO Tume ya Madini inatoa leseni za wachimbaji wadogo kwa upendeleo na kisingizio cha kutokuwepo Bodi

DOKEZO Tume ya Madini inatoa leseni za wachimbaji wadogo kwa upendeleo na kisingizio cha kutokuwepo Bodi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Sisi wachimbaji wadogo tumekuwa tukifuatilia leseni za madini kuanzia mwezi wa tatu hadi leo hii hatujapata kwa kuwa tunambiwa board haipo wengi wamestaafu,ila cha ajabu kuna wenzetu wao wamepewa leseni bila kisingizio cha board,sasa najiuliza Je Mh Mavunde sisi sio watanzania tunaohitaji hizo leseni za wachimbaji wadogo (PML),Tunaambiwa hadi board ikae na hawajui lini ila wengine wamepewa sasa zimetoka vipi hizo!!!
 
Wajumbe wa Bodi wanastaafu vipi bila replacement hii imekaaje kwenye sekta muhimu Kama hii
 
Back
Top Bottom