Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanabodi,
Baada ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kufanyika Dodoma na viunga vyake sasa zoezi limehamia mikoa mingine
====================================================
Kupitia ukurasa wa Instagram wa INEC, tume hiyo ya Uchaguzi imetangaza kuwa uboreshaji wa daftari utafanyika kwa wakati mmoja kwenye mikoa ya Songwe, Njombe, Rukwa na mkoani Ruvuma kwenye Halmashauri za Wilaya ya Nyasa, Mbinga, Mbinga Mji, Wilaya ya Songea na Manispaa ya Songea, kwa siku saba
Zoezi litaanza kuanzia tarehe 12 hadi 18 Januari, 2025 ambapo vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.
Wana Ruvuma na Songea msijifanye hamjaona ujumbe kutoka kwenye tume huru ya Uchaguzi nendeni mkajiandikishe
Baada ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kufanyika Dodoma na viunga vyake sasa zoezi limehamia mikoa mingine
====================================================
Kupitia ukurasa wa Instagram wa INEC, tume hiyo ya Uchaguzi imetangaza kuwa uboreshaji wa daftari utafanyika kwa wakati mmoja kwenye mikoa ya Songwe, Njombe, Rukwa na mkoani Ruvuma kwenye Halmashauri za Wilaya ya Nyasa, Mbinga, Mbinga Mji, Wilaya ya Songea na Manispaa ya Songea, kwa siku saba
Zoezi litaanza kuanzia tarehe 12 hadi 18 Januari, 2025 ambapo vituo vitakuwa vinafunguliwa kuanzia saa 2:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.
Wana Ruvuma na Songea msijifanye hamjaona ujumbe kutoka kwenye tume huru ya Uchaguzi nendeni mkajiandikishe