BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewatoa hofu wananchi juu ya uwepo taarifa kwamba mifumo yake ya Kura imedukuliwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa IEBC, Marjan Hussein Marjan amesema taarifa zinazoenea kuhusu tovuti ya matokeo kuingiliwa sio za kweli na amewakikishia Wakenya kuwa wamechukua hatua za kujilinda katika ngazi zote.
Marjan amekiri kuwa wadukuzi walijaribu kufanya hivyo lakini mifumo ya IEBC haikuwa dhaifu, na kuongeza kuwa wamekuwa wakifuatilia mifumo yote ikiwa ni pamoja na mtandao, programu, hifadhidata na mfumo wa uendeshaji ili kuzuia majaribio yote ya udukuzi.
==============
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has moved to allay fears its systems can be compromised following disinformation spreading on social media about the fallibility of its voting technology.
In a Friday afternoon press briefing, CEO Marjan Hussein Marjan said:
"There is disinformation spreading that the results portal has been compromised. We would like to assure the country that nothing like that has happened. We anticipated that people will try to hack our systems and put in place measures to secure it on all levels."
He noted that though unnamed players may attempt to do so, IEBC's systems were foolproof, adding that they have been monitoring all their systems on all levels including network, application, database and operating system so that no hacking takes place.
"And if there is any doubt please talk to us. Don't send misinformation out there," he added.
Mkurugenzi Mtendaji wa IEBC, Marjan Hussein Marjan amesema taarifa zinazoenea kuhusu tovuti ya matokeo kuingiliwa sio za kweli na amewakikishia Wakenya kuwa wamechukua hatua za kujilinda katika ngazi zote.
Marjan amekiri kuwa wadukuzi walijaribu kufanya hivyo lakini mifumo ya IEBC haikuwa dhaifu, na kuongeza kuwa wamekuwa wakifuatilia mifumo yote ikiwa ni pamoja na mtandao, programu, hifadhidata na mfumo wa uendeshaji ili kuzuia majaribio yote ya udukuzi.
==============
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has moved to allay fears its systems can be compromised following disinformation spreading on social media about the fallibility of its voting technology.
In a Friday afternoon press briefing, CEO Marjan Hussein Marjan said:
"There is disinformation spreading that the results portal has been compromised. We would like to assure the country that nothing like that has happened. We anticipated that people will try to hack our systems and put in place measures to secure it on all levels."
He noted that though unnamed players may attempt to do so, IEBC's systems were foolproof, adding that they have been monitoring all their systems on all levels including network, application, database and operating system so that no hacking takes place.
"And if there is any doubt please talk to us. Don't send misinformation out there," he added.