Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
[TABLE="class: t1"]
[TR]
[TD="class: td1"]IBARA YA 220.-(1) Tume Huru ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kusimamia na kuendesha shughuli zote za uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kusimamia na kuendesha kura ya maoni;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura katika Jamhuri ya Muungano;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(d) kugawa na kutangaza majimbo ya uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(e) kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Rais na Wabunge, au matokeo ya kura ya maoni.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](2) Tume Huru ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi au kura ya maoni na kuratibu utoaji wa elimu ya uraia kuhusu uchaguzi, au kura ya maoni na kusimamia asasi za kiraia, taasisi, jumuiya au makundi ya watu yatakayotoa elimu hiyo.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](3) Tume Huru ya Uchaguzi pia ina wajibu wa kuhakikisha kuwepo kwa:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) uhuru wa wananchi katika kutumia haki ya uchaguzi na kuchaguliwa kupitia vyama vya siasa au mgombea huru;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) uzingatiaji wa misingi ya upigaji kura wa mtu mmoja kura moja; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) uchaguzi huru na wa haki.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](4) Tume Huru ya Uchaguzi inaweza kutekeleza shughuli zake bila kujali kwamba kuna nafasi ya madaraka ya mjumbe iliyo wazi miongoni mwa wajumbe au kwamba Mjumbe yeyote hayupo, lakini kila uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi ni lazima uungwe mkono na wajumbe walio wengi kati ya idadi ya Wajumbe wote wa Tume Huru ya Uchaguzi. ...
endelea kusoma uataona
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="class: td1"]IBARA YA 220.-(1) Tume Huru ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) kusimamia na kuendesha shughuli zote za uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) kusimamia na kuendesha kura ya maoni;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapiga kura katika Jamhuri ya Muungano;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(d) kugawa na kutangaza majimbo ya uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(e) kutangaza matokeo ya uchaguzi wa Rais na Wabunge, au matokeo ya kura ya maoni.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](2) Tume Huru ya Uchaguzi itakuwa na wajibu wa kutoa elimu ya mpiga kura wakati wa uchaguzi au kura ya maoni na kuratibu utoaji wa elimu ya uraia kuhusu uchaguzi, au kura ya maoni na kusimamia asasi za kiraia, taasisi, jumuiya au makundi ya watu yatakayotoa elimu hiyo.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](3) Tume Huru ya Uchaguzi pia ina wajibu wa kuhakikisha kuwepo kwa:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(a) uhuru wa wananchi katika kutumia haki ya uchaguzi na kuchaguliwa kupitia vyama vya siasa au mgombea huru;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(b) uzingatiaji wa misingi ya upigaji kura wa mtu mmoja kura moja; na
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"]
(c) uchaguzi huru na wa haki.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: td1"](4) Tume Huru ya Uchaguzi inaweza kutekeleza shughuli zake bila kujali kwamba kuna nafasi ya madaraka ya mjumbe iliyo wazi miongoni mwa wajumbe au kwamba Mjumbe yeyote hayupo, lakini kila uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi ni lazima uungwe mkono na wajumbe walio wengi kati ya idadi ya Wajumbe wote wa Tume Huru ya Uchaguzi. ...
endelea kusoma uataona
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]