Wafuasi wa Lissu mmeambiwa muache matusi.NEC imejaa wapuuzi ile.
Watu wasio na utu hata kidogo.
Ni watu wazima lakini akili zao hazina tofauti na watoto wadogo.
Tume ya uchaguzi ndiyo inayoshiriki kuhujumu uchaguzi
Tume imejaa wapumbavu ileWafuasi wa Lissu mmeambiwa muache matusi.
NEC imejaa wapuuzi ile.
Watu wasio na utu hata kidogo.
Ni watu wazima lakini akili zao hazina tofauti na watoto wadogo.
Tume ya uchaguzi ndiyo inayoshiriki kuhujumu uchaguzi
Hahaha comrade sio mbaya kujipa matumaini kuwa Chadema mtachukua nchi ila mjiandae kisaikolojia kuukubali ukweli.Tupo watanzania wengi tu ambao huyu bwana si chaguzi letu.
Tume ikitenda mambo kwa uhuru na haki huyu bwana hakatizi kwenye sanduku la kura.
Tume limejaa wapumbavu lileFrustrations za kila aliye kuwa frustrated na tume ziko wazi mno.
Rafu za kujimilikisha vyombo vya habari, engua engua, vitisho, rushwa, lugha zisizokuwa rasmi majukwaani.
Jamani eeh mbona offside za wazi mno?
Matusi hayatawapa kura comrade. Zaidi zaidi mnazidi kutuaminisha wapiga kura kuwa chadema ni chama cha wahuni.Tume imejaa wapumbavu ile
Tume imejaa wahuni lile, huu upuuzi unaweza kuita nao ni uchaguziMatusi hayatawapa kura comrade. Zaidi zaidi mnazidi kutuaminisha wapiga kura kuwa chadema ni chama cha wahuni.
Matusi hayatawapa kura comrade. Zaidi zaidi mnazidi kutuaminisha wapiga kura kuwa chadema ni chama cha wahuni.
Wanaposema matusi wangekuwa wanatoa na references za matusi hayo.
Wanaongea ki jumla jumla sana. Waseme, ni nani katukana na kamtukana nani, na nini au lipi lilikuwa tusi.
Hili jukumu si la tume ni la msajiri wa vyama.
Tume imewarudisha wagombea wengi tu waliokuwa wameenguliwa hapo awali. Hakuna mpenda haki atayeacha kuipongeza tume juu ya hilo.Mkuu kwa upande wa tume unayaona haya?
"Rafu za kujimilikisha vyombo vya habari, engua engua, vitisho, rushwa, lugha zisizokuwa rasmi majukwaani."
Kwa hakika hayupo mpenda haki anayeweza kuwa na maneno au majina matamu kwa NEC.
Kwa jinsi hii waipambe NEC kwa jema lipi la kuashiria kuwa hawapendelei upande mmoja?
Tume imewarudisha wagombea wengi tu waliokuwa wameenguliwa hapo awali. Hakuna mpenda haki atayeacha kuipongeza tume juu ya hilo.
Tatizo lenu wapinzani hamna jema hata moja.
Hivi hizo sheria na kanuni za matusi 2015 zilikuwa likizo? Nadhani watu watulizane tu sindano zinazowaingia ziwaingie. Kukiliwa kwa mwali na kungwi avumilie kwake kuliwe...Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Ninaandika haya Mungu bariki hatimaye tume wakajue kuna watu tumefunga tunawaombea wao kwa Mungu ili wakapate kutenda haki. Yaani wao kama nchumeno wakakate kwa mbele na kwa nyuma pia.
Kwa upande wetu wana maombi, tunaiona hatari inayotunyemelea sisi kama taifa iwapo tume itaamua nayo kuendekeza nyimbo za waliojinasibu kuwa wao ndiyo waliowateua. Kuwa eti kwa sababu hiyo hawana ruksa ya kuwatangaza wasiowataka wao kama washindi.
Tamko la leo kuhusiana na wanaosemekana kuwa wanatukana badala ya kusema sera zao limetustua wanamaombi sisi, kiasi tukadhani tusisubiri tu majibu ya maombi yetu kuwafikia wao tume kiitifaki kutokea kwa Mungu.
Hoja za kuwa pana matusi zimekuwa zikitolewa na chama kimojawapo katika vinavyoshindana na kwa muda mrefu sasa. Hii ikiwa hata kabla mno ya kampeni. Shutuma hizi zimeendelea kuwapo bila ya kuwepo au kutolewa ushahidi wowote wa matusi hayo. Kiasi sasa wimbo huu tulikuwa tunaanza kuuzoea kuwa ni moja katika harakati za mfa maji kwenye mpambano ulio mgumu vilivyo.
Kwamba tume nao wanaanza kuimba nyimbo hizi? Tunaomba ushahidi tafadhali wa matusi hayo neno kwa neno na mantiki kwa mantiki.
Vinginevyo kututumbukiza kwenye mtego wa maafisa uteuzi kwaweza kusituache salama. Tume kama waamuzi itakuwa hatari kubwa kuonekana kujipanga upande wa baina ya washindani wowote.
Tume nyie kama msumeno kataji yenu ikianza kuwa na macho mbona itakuwa kutelekeza wajibu wenu na hata kuuimarisha vilivyo uhitaji wa tume iliyo huru na kwa hali ya dharura mno?
Kwamba pana wagombea wameenguliwa nao wanalalimikia enguaji hizo. Kwamba muda wa kampeni unazidi kuyoyoma hali washindani wao wakichanja mbuga? Tume warejesheni Wagombea hao kwenye sanduku la kura wananchi wakaamue wenyewe. Hebu msiishiriki laana ya kuwatendea wengine dhuluma.
Msiwanyime haki na uhuru wao wagombea hawa na hata wapiga kura, mkiridhia matakwa ya washindani fulani. Kila mtu na akajishindie mechi zake bila ya kuwashinikiza nyie (au nyie kujipendekeza) kwa usaidizi spesheli.
Macho yetu kodo, Ruangwa, Kilosa, Mtama, Ushetu na kote kwenye hizi pitaji pitaji bila pingwaji.
Pamoja na yote haitakuwa sawa kutokufikishieni ombi letu jingine tulilolipeleka kwa mola pia kukuhusuni nyie. Kemeeni matumizi ya lugha za kienyeji yaliyo kinyume na kanuni zenu kwa baadhi ya wagombea. Kemeeni kauli hizi za kikabila ambapo nyingi hata zinaambatana na vitisho, rushwa na hata uchochezi nyuma ya pazia.
Kauli hizi ni za vitisho (msiponichagulia fulani hampati barabara, maji, zahanati nk). Kauli hizi zina vionjo vya rushwa (mkinichagulia fulani nami nitawaletea pia daraja, barabara Ila kama hamtaki msimchague muone nk).
Kauli hizi ni za kichochezi (fulani na fulani wanatumiwa na mabeberu, fulani na fulani wametumwa na mabeberu, fulani na fulani ni wapinga maendeleo ya watanzania, fulani na fulani ni wasaliti, fulani na fulani si wenzetu nk).
Tunapotazamia haki kutoka kwenu itapendeza kuiona haki ikitendeka hatua kwa hatua na kwa mujibu wa sheria.
Nchumeno na ukakate kwa mbele na kwa nyuma pia.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Ninawasilisha.
Wawarudishe wote hakuna kupita bila kupingwa...Tume imewarudisha wagombea wengi tu waliokuwa wameenguliwa hapo awali. Hakuna mpenda haki atayeacha kuipongeza tume juu ya hilo.
Tatizo lenu wapinzani hamna jema hata moja.
Comrade kuna sheria zinazosimamia zoezi zima la uchaguzi. Wagombea walioenguliwa wameenguliwa kwa sababu mbalimbali na sio wameonewa. Kutakua na tija gani ya kutunga sheria halafu tusizitumie?Mkuu si kweli kuwa hapongezwi mtu kwa jema:
Pongezi Sirro, Mahakama na Tume ya Uchaguzi kazi kwenu
Hata hivyo kurejeshwa wengi haitoshi. Wengi ni wangapi? Kwa nini si wote? Ikumbukwe pia kuwa kuwarejesha wagombea hawa si hisani ya tume.
Busara ilikuwa kuwarejesha wote wanaolalamika kwa kuenguliwa ndivyo sivyo. Mbona Sirro alipofanya vyema amekuwa akipongezwa waziwazi?
Kwa amani ya nchi hii, tume mnao mchango mkubwa, msituangushe
Acheni wakashindwe kwenye sanduku la kura. Si wagombea mboga mboga wanakubalika mno. Hofu ya nini basi?
Tume na watende haki na tutawapongeza vilivyo.
Wakati Lissu anaweka pingamizi dhidi ya Magufuli lengo lilikua ni kumuengua Magufuli kwenye kinyang'anyiro. Sasa comrade njia iyo iyo aliyotumia Lissu ndio iliyotumika kuwaengua wagombea wenu.Wawarudishe wote hakuna kupita bila kupingwa...
Vazi humstiri mtu ila afunguapo kinywa huumbuka!!Wakati Lissu anaweka pingamizi dhidi ya Magufuli lengo lilikua ni kumuengua Magufuli kwenye kinyang'anyiro. Sasa comrade njia iyo iyo aliyotumia Lissu ndio iliyotumika kuwaengua wagombea wenu.
Upo sawa.Vazi humstiri mtu ila afunguapo kinywa huumbuka!!
Unajisikiaje sasa?Upo sawa.
Swali lako halina tija yeyote comrade.Unajisikiaje sasa?