Leo Uganda wanapiga kura uchaguzi mkuu
Tume ya uchaguzi Tanzania iko vizuri ona Uganda Bob wine kamaliza kupiga kura kituoni leo asubuhi ona vurugu kituoni utafikiri mkutano wa kampeni
Siyo tume ya uchaguzi, ni raia wa Tanzania wako vizuri na wamestarabika.
Tatizo kubwa Tanzania ni watu wachache, baadhi ya viongozi na watumishi wa uma ambao hufanya matendo yanayotiliwa shaka wakati wa uchaguzi.