kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tume ya uchaguzi haiajawahi kuwa kimya kwenye maboresho ya daftari la wapiga kura Kama ilivyo awamu hii, hakuna sehemu unaona Kama wapo kazini. Hali imetulia sana Kama vile hakuna watendaji wa tume au tume may be inakosa resources. Lakini baadhi ya watu wanadai hata vifaa vya uandikishaji wapiga kura vimetoka NIDA ambapo pia kuna uandikishaji unaendelea. Ni Kama vile tume imelala kwa kujua labda hatuna uchaguzi.
Kwa wananchi, lipo kundi kubwa sana la vijana waliofikisha 18 Kati ya 2014 na 2020 lakini kundi ilo alionekani kwenye foleni za kutafuta kadi za kura. Kuna tatizo gani? Au kauli za viongozi wa kisiasa ambazo hazikuwahi kukemewa na tume ya uchaguzi zinachangia kuwakatisha tamaa wananchi? Hata wakina Mama waliokuwa mstari wa mbele kutafuta vitambulisho uwaoni kwenye foleni. Tusipuuzie na kusherekea Bali tujiulize wananchi wanaona uchaguzi haupo Tanzania au wanaona uchaguzi si Bora Tena kwao?
Vyombo vya habari navyo vipo kimya kwenye ili, hawana matangazo wala uhamasishaji, kwanini? Tume imeshindaje kuwa na fedha za kuelimisha wananchi?
Najua watu wana national Id na hivyo wanaamini hakuna umuhimu wa kadi ya kura, kwanini taifa limeshindwa kutofautisha umuhimu wa hizi kadi mbili.
Wapinzani nao wamekaa kimya like Kuna mgomo, mgomo unat
Kwa wananchi, lipo kundi kubwa sana la vijana waliofikisha 18 Kati ya 2014 na 2020 lakini kundi ilo alionekani kwenye foleni za kutafuta kadi za kura. Kuna tatizo gani? Au kauli za viongozi wa kisiasa ambazo hazikuwahi kukemewa na tume ya uchaguzi zinachangia kuwakatisha tamaa wananchi? Hata wakina Mama waliokuwa mstari wa mbele kutafuta vitambulisho uwaoni kwenye foleni. Tusipuuzie na kusherekea Bali tujiulize wananchi wanaona uchaguzi haupo Tanzania au wanaona uchaguzi si Bora Tena kwao?
Vyombo vya habari navyo vipo kimya kwenye ili, hawana matangazo wala uhamasishaji, kwanini? Tume imeshindaje kuwa na fedha za kuelimisha wananchi?
Najua watu wana national Id na hivyo wanaamini hakuna umuhimu wa kadi ya kura, kwanini taifa limeshindwa kutofautisha umuhimu wa hizi kadi mbili.
Wapinzani nao wamekaa kimya like Kuna mgomo, mgomo unat