Tume ya Ushindani tieni jicho kwenye Elimu

Tume ya Ushindani tieni jicho kwenye Elimu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Shule zote za mjini na vijijini, serikali na binafsi, zenye walimu na zisizo walimu, zenye vifaa vya kufundishia na zisizokuwa na vifaa vya kufundishia zoote zinatungiwa mtihani mmoja wa taifa, wanafunzi wanagombania nafasi za kujiunga na vyuo vikuu na ufadhili (scholarships) mbalimbali.

Je, tume ya ushindani mnaona Kuna ushindani hapo au Kuna kundi Moja linapendelewa na kufaidika zaidi kuliko kundi lingine kwenye Elimu?

Ni kweli wanawafunzi wote nchini wanaweza kushindana kwa haki kufanya mtihani mmoja ili kugombania nafasi mbalimbali zinazohitaji ufaulu mzuri na uelewa?
 
Shule zote za mjini na vijijini, serikali na binafsi, zenye walimu na zisizo walimu, zenye vifaa vya kufundishia na zisizokuwa na vifaa vya kufundishia zoote zinatungiwa mtihani mmoja wa taifa, wanafunzi wanagombania nafasi za kujiunga na vyuo vikuu na ufadhili (scholarships) mbalimbali.

Je, tume ya ushindani mnaona Kuna ushindani hapo au Kuna kundi Moja linapendelewa na kufaidika zaidi kuliko kundi lingine kwenye Elimu?

Ni kweli wanawafunzi wote nchini wanaweza kushindana kwa haki kufanya mtihani mmoja ili kugombania nafasi mbalimbali zinazohitaji ufaulu mzuri na uelewa?
Na mimi naona hii irregularities. Hawawezi kuwa sawa
labda namna nzuri ya kuwa shindanisha kulingana na
mazingira yao ndio inakosekana.
 
Hii ndio tanzania yetu mzee
Mfano program ambazo zenye ushindani kwenye vyuo vya

umma eg Health Science I.e MD wengi waodahiliwa ni watoto
wenye unafuu wa kipato waliosoma shule bora za private

wakapata division 1 ya 3 hadi 5. Na wengine walio soma special
Shoool. Masikini ni wakuhesabu na ukizingatia pia ela ya kusoma
vyuo vya private au nje ya nchi hawana ndoto zao zinakufa.
 
Mkuu wnasema maji hufata mkondo acha kabisa mtoto wa maskin mpka atoboe inabidi awe kipanga haswa.
 
Na wengi wao hao wa mjini ni wasaniiii kama Diamond na wenzie! Kufanyike matengenezo kubalance vipaji. Kama wanufaika wa Samiha scholarship asilimia 95 wanatokana na hizo shule za private, maana ndio wenye ufaulu mzuri, tunachemsha kama nchi. Madhara yake tutaanza kuyaona miaka 10 ijayo. Mishe za watoto wa mjini, kuangaika na madaladala, kupungua kwa upendo ukilinganisha na vijijini, kazi za serikali inakuwa ni daraja to private issues. Tu balance vinginevyo iwe kama enzi za Nyerere cut off ya private na zile special itofautiane na zile nyinginezo kwa baadhi ya kozi vyuo vikuu.
 
Tume
Mfano program ambazo zenye ushindani kwenye vyuo vya

umma eg Health Science I.e MD wengi waodahiliwa ni watoto
wenye unafuu wa kipato waliosoma shule bora za private

wakapata division 1 ya 3 hadi 5. Na wengine walio soma special
Shoool. Masikini ni wakuhesabu na ukizingatia pia ela ya kusoma
vyuo vya private au nje ya nchi hawana ndoto zao zinakufa.

Mfano program ambazo zenye ushindani kwenye vyuo vya

umma eg Health Science I.e MD wengi waodahiliwa ni watoto
wenye unafuu wa kipato waliosoma shule bora za private

wakapata division 1 ya 3 hadi 5. Na wengine walio soma special
Shoool. Masikini ni wakuhesabu na ukizingatia pia ela ya kusoma
vyuo vya private au nje ya nchi hawana ndoto zao zinakufa.
Fair competition commission (FCC) hapa inapepesa macho. Watoto wa wasiokuwa nacho ndio wanakwenda vyuo binafsi vyenye ada kubwa na watoto wa wenye nacho ndio wanaosoma vyuo vya serikali vyenye ada ndogo kutokana na ufaulu. Shule za vijijini (mazingira magumu) havina walimu, libraries, laboratories, mabweni, chakula, umeme, usafiri, stationary na wanafunzi wanafanya kazi nyingi za nje kama kulima, kufagia, kufyeka majani, kuvuna mazao na hata kuchotea maji walimu wao. Lakini mtihani unatungwa wenye mahitaji sawa na wale ambao Kila kitu kipo na wanafanyiwa Kila kitu (usafi, usafiri, chakula,nk).
 
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...


Cc: Mahondaw
Nirahisi kuisikia tume ikihangaika na mambo ya simba na yanga kuliko kusemea na kuja na mkakati wa jambo kubwa kama hili la elimu ambalo linaichana nchi yetu kwenye matabaka. Watoto wa wazazi waliosoma mtaala wa Cambridge sasa hivi ndio waliovijaza vyuo vyetu nchini, hasa vile vya umma na kuwasukuma watoto wa maskini kwenye madeni makubwa ya bodi ya mikopo kwenye vyuo binafsi.
 
Back
Top Bottom