KERO Tume ya utumishi wa umma jirekebisheni kwenye mawasiliano

KERO Tume ya utumishi wa umma jirekebisheni kwenye mawasiliano

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Habarini,

Imekuwa ni shida kuwasiliana na nyie kwani hamjibu baruapepe,simu na sms.

Na hata hao watumishi wenu ambao wameweza kupata namba zao hawapokei simu zao.

Huu ni utendaji mbaya na unakela sana kwani wananchi wenye shida wanahangaika sana kwa huduma zenu mbovu.

Nashauri serikali ifanye maamuzi ya haraka kufungua ofisi za mikoani kwa hiyo ofisi ya Dodoma hamna kitu.

Mwenye mawasiliano yao yanayopatikana wekeni hapa kwa msaada zaidi kwani namba za simu na email zao hapa chini hazipo hewani na somu za watumishi wanazotupa hawapokei wala kujibu sms za wateja wakati wamezitoa wao wenyewe,tatizo ni nini??
 

Attachments

  • IMG-20241219-WA0018.jpg
    IMG-20241219-WA0018.jpg
    59.5 KB · Views: 3
Katiba mpya tutaondoa huko ujinga
 

Attachments

  • 20241219_220632.jpg
    20241219_220632.jpg
    203.9 KB · Views: 3
Habarini,

Imekuwa ni shida kuwasiliana na nyie kwani hamjibu baruapepe,simu na sms.

Na hata hao watumishi wenu ambao wameweza kupata namba zao hawapokei simu zao.

Huu ni utendaji mbaya na unakela sana kwani wananchi wenye shida wanahangaika sana kwa huduma zenu mbovu.

Nashauri serikali ifanye maamuzi ya haraka kufungua ofisi za mikoani kwa hiyo ofisi ya Dodoma hamna kitu.

Mwenye mawasiliano yao yanayopatikana wekeni hapa kwa msaada zaidi.
Kumbe na wewe umeliona ee. Yan wako kama vile hawako serious
 
Back
Top Bottom