Tume ya Utumishi Zanzibar inaajiri wasio na sifa

Tume ya Utumishi Zanzibar inaajiri wasio na sifa

Deicon

New Member
Joined
Jul 5, 2024
Posts
3
Reaction score
3
Hata uwe na vigezo kiasi gani, kama huna connection Zanzibar hutoboi. Mfano mdogo ni ajira za hivi karibuni kuna jamaa alikuwa na G.P.A zaidi ya 3.8, vyeti vya ziada ikiwemo computer na interview zote mbili kafanya vizuri ila katemwa.
 
Hata uwe na vigezo kiasi gani, kama huna connection Zanzibar hutoboi. Mfano mdogo ni ajira za hivi karibuni kuna jamaa alikuwa na G.P.A zaidi ya 3.8, vyeti vya ziada ikiwemo computer na interview zote mbili kafanya vizuri ila katemwa.
Aliekua ana compete nao walijua better.
 
Kwani wakuu nyie kuna yoyote kati yenu ameshawahi kuwepo huko? Au ni hadithi za mitaani
 
Mkuu Zenj ni lazima uwe na kadi ya CCM ili uweze kuajiriwa na cheti cha itikadi ya chama chao, pia hutakiwi kuwa mpemba. Yaani ni kweli kabisa Mkuu. Kwa kuongezea pia ni lazim uwe na connection nzito yaani kwenye familia yako asikosekane kiongozi.. Na ndio maana baadhi ya wafanyakazi wengi wa Zanzibar hawajui kazi zao wamewekwa tu.
 
Mzee Zanzibar ukiitwa tu jacobo, yohana, Marko sijui Luka huna ajira
 
Back
Top Bottom