why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
cheni bandia pesa bandia,lol!
Wewe nani kakuteua kuwa msemaji wa wanawake?
Na kwani wanawake wao hawaumizi? Manake wamejaa full usanii halafu ukiwauliza vipi kuhusu Fulani na Fulani unaambiwa we are just friends. Hamna lolote nyie.
na wewe umiza au huna jeuri?
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
Mimi huwa nashangaa sana they think they are the only creatures in this world who every now and then we should feel sorry for them as if they don't hurt us as well au kwavile sisi huwa hatuongei na tunapiga kimya basi inaonekana kwamba huwa hatuumiziwi na wao.
Kama tungekuwa na mioyo na tabia za kike, naapa dunia isingekalika
Kwao ni sifa na furaha kuwalaumu wanaume tu
Heri ingekuwapo jinsia ya tatu
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
duh ,jinsia ya tatu lol
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
Ukizoea kula pilau anayopika mama yako pekee hutaweza kujua kama kuna wanawake/wamama wengine wanaojua kupika vizuri zaidi ya mama yako!
Shosti mbona haya mambo yakawaida hasa dunia yetu ya leo,ukiwanae usipende ukajimaliza penda pole pole uwe muoga kufungua moyo wote,kama hayo uyawezi utaishia kufanywa kiti cha snema kila anaekuja anakalia akili kichwani mwako......