Tumefanikiwa kutokomeza utapiaK lakini utapiamlo umetushinda

Tumefanikiwa kutokomeza utapiaK lakini utapiamlo umetushinda

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Wasalaam wana JF

Vijana wengi hawana utapiaK, wanachakata K kwa kwenda mbele au wanapiga chaputa. Tatizo sugu ni utapiamlo. Vijana wengi hawali balance diet.
Elimu ya lishe itolewe, tutapoteza nguvu kazi yetu.
 
Hivi wenye vitambi mtunguo nao si wana utapiamlo[emoji848]

Au utapiamlo Ni kwa wembamba tu?
 
Wasalaam wana JF

Vijana wengi hawana utapiaK, wanachakata K kwa kwenda mbele au wanapiga chaputa. Tatizo sugu ni utapiamlo. Vijana wengi hawali balance diet.
Elimu ya lishe itolewe, tutapoteza nguvu kazi yetu.
Chakula chao kikuu chips yai[emoji1]
 
Kuna mambo kuyaanza ukubwani ni ngumu sana. Hili suala la balanced diet linaezekana maybe kwa mchakato wa more than 10 yrs. Inatakiwa lianze watu wakiwa watoto wadogo kabisa ili wakue huku wanaona na kuelezwa faida zake.
Sasa kwa mfano kijana kakulia huko ifilandama, menu ni ugali mkubwa na kisosi cha mboga, leo ukimwambia balanced diet ni kama unapuliza upepo
 
Back
Top Bottom