Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Ningetamani kuwe na mpango mahsusi wa kushusha bei ya Gesi na kuisambaza ifike Vijijini ili tupunguze uharibifu wa misitu.Naamini tunaweza pia kusimamia Shirika letu la umeme liwe na faida na kuweza kusambaza umeme wa bei nafuu.
TANESCO waache kuamini kuwa, watapata faida kwa kuhudumia wateja wachache kwa bei ya juu.
Biashara ya ulimwengu wa sasa ni kuuza kwa watu wengi kwa faida kidogo. Hivi makaa ya Mawe hayawezi kutumia kwenye Taa sisi kubwa kama jeshi, Magereza na mashule kama mbadala wa kuni/mkaa? Binafsi naona bila mbinu mbadala ya kuwapatia watu Energy; mbinu zozote za kuzuia watu wasichome mkaa zinakuwa za kupoteza muda na kutumia gharama bure ambapo matokeo yake hayata onekana.
Naomba mawazo yako
TANESCO waache kuamini kuwa, watapata faida kwa kuhudumia wateja wachache kwa bei ya juu.
Biashara ya ulimwengu wa sasa ni kuuza kwa watu wengi kwa faida kidogo. Hivi makaa ya Mawe hayawezi kutumia kwenye Taa sisi kubwa kama jeshi, Magereza na mashule kama mbadala wa kuni/mkaa? Binafsi naona bila mbinu mbadala ya kuwapatia watu Energy; mbinu zozote za kuzuia watu wasichome mkaa zinakuwa za kupoteza muda na kutumia gharama bure ambapo matokeo yake hayata onekana.
Naomba mawazo yako