Tumefunga Wiki na mambo 4 makubwa,1. Tanzanialeaks 2. Tume na Makonda 3. Gazeti Nipashe 4. Mbunge Kujiuzulu

Tumefunga Wiki na mambo 4 makubwa,1. Tanzanialeaks 2. Tume na Makonda 3. Gazeti Nipashe 4. Mbunge Kujiuzulu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli ilikuwa ni wiki nzito sana kiasi Cha maigizo ya Mchungaji Msigwa kutofuatiliwa kabisa

Mungu wa Mbinguni atuhurumie wiki tunayoanza kesho akatufanyie Wepesi

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
 
GSsQT_hXYAE3s9C.jpg
Na mimi je?
 
Hivi joh, wale warembo wa Kwa macheni miaka ya 90 , alikua anawatoa singida, babati, kondoa au wapi? Alipata kuwepo salma na zamda walikua wanamaumbo ya kuvutia sana, enzi hizo mipango ya kuanzishwa chadema inafanyika pale huku Bob makhan, pembeni mtei msigwa alikua bado yuko kijijini , anatokwa makamasi, enzi mbowe yuko BOT, bwana msigwa alikua wapi?
 
Hivi joh, wale warembo wa Kwa macheni miaka ya 90 , alikua anawatoa singida, babati, kondoa au wapi? Alipata kuwepo salma na zamda walikua wanamaumbo ya kuvutia sana, enzi hizo mipango ya kuanzishwa chadema inafanyika pale huku Bob makhan, pembeni mtei msigwa alikua bado yuko kijijini , anatokwa makamasi, enzi mbowe yuko BOT, bwana msigwa alikua wapi?
1. Macheni kabla hajaenda Unyamwezini tulikuwa naye Mitaa ya Wilolesi alikuwa Kondakta wa Mabasi ya Railways na alivyorudi kutoka majuu wale mademu pale Magomeni alikuwa anawatoa Morogoro 😀

2. Peter Msigwa alitokea Uwanji Matamba huko wilayani Makete na tulimpokea vizuri tu akiwa miongoni mwa wauza mitumba wa mwanzo kabisa pale Miyomboni

3. Kisiasa Msigwa alimtegemea sana Diwani Gervas Kalolo na baada ya Kifo Cha Gervas Kalolo wengi tulijua Siasa za Msigwa zimefika ukingoni

Ulale Unono 😃
 
1. Macheni kabla hajaenda Unyamwezini tulikuwa naye Mitaa ya Wilolesi alikuwa Kondakta wa Mabasi ya Railways na alivyorudi kutoka majuu wale mademu pale Magomeni alikuwa anawatoa Morogoro 😀

2. Peter Msigwa alitokea Uwanji Matamba huko wilayani Makete na tulimpokea vizuri tu akiwa miongoni mwa wauza mitumba wa mwanzo kabisa pale Miyomboni

3. Kisiasa Msigwa alimtegemea sana Diwani Gervas Kalolo na baada ya Kifo Cha Gervas Kalolo wengi tulijua Siasa za Msigwa zimefika ukingoni

Ulale Unono 😃
Kalolo namkumbuka niliwahi kunywa nae pale police na pale sambala, jamaa siasa za iringa mjini alikua mwamba kwelikweli, nilijua msigwa atatulia kama mstaafu wa nccr au bora angekua kama chiku abwao basi
 
Kiukweli ilikuwa ni wiki nzito sana kiasi Cha maigizo ya Mchungaji Msigwa kutofuatiliwa kabisa

Mungu wa Mbinguni atuhurumie wiki tunayoanza kesho akatufanyie Wepesi

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
johnthebaptist hivi makamba kafanya nini tena? Nape ni kuhusu kuiba kura, sasa huyu masikini kafanya nini?

Byabato je? kafanya nini? Pascal Mayalla nipi za undani
 
Back
Top Bottom