wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kufuatia kadhia ya kufuta mechi ya simba vs yanga madhara yake ni makubwa.
Tumeua ari ya wanamichezo
Kuna mashabiki hawataenda tena viwanjani
Kuna mashabiki wameamua kuachana kabisa na habari za mpira wa tanzania
Hatuwezi tena kupata wadhamini wa maana kwa ubabaishaji huu wa TFF & Co.
Kwa hakika tumeikosea tasnia ya mpira wa miguu Tanzania,afrika na dunia yote.
Vilabu vijifunze pia kuheshimu na kujali mashabiki wake kuliko kulazimisha kanuni zitumike. Mashabiki ndio tunafanya timu ziwepo kuliko hizo kanuni.
Itachukua miaka kurudisha imani ya mpira iliyokuwa imejengeka.
Tumeua ari ya wanamichezo
Kuna mashabiki hawataenda tena viwanjani
Kuna mashabiki wameamua kuachana kabisa na habari za mpira wa tanzania
Hatuwezi tena kupata wadhamini wa maana kwa ubabaishaji huu wa TFF & Co.
Kwa hakika tumeikosea tasnia ya mpira wa miguu Tanzania,afrika na dunia yote.
Vilabu vijifunze pia kuheshimu na kujali mashabiki wake kuliko kulazimisha kanuni zitumike. Mashabiki ndio tunafanya timu ziwepo kuliko hizo kanuni.
Itachukua miaka kurudisha imani ya mpira iliyokuwa imejengeka.