RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
MHADHARA (100)✍️
Sisi masikini tunahifadhi namba za simu za watu ambao wamefanikiwa kimaisha na wengine wameinuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali za uongozi. Tunafanya hivyo tukidhani kwamba siku tukipatwa na shida yoyote watatusaidia.
Wakati mwingine tunawapost mara kwa mara kwenye akaunti zetu (status) za mitandao ya kijamii ili kujionyesha kuwa tunajuana nao, au kuwapa sifa ili kama kuna uwezekano wowote watukumbuke kwenye mavuno yao.
Hata hivyo ukipatwa na shida yoyote unagundua kwamba watu wanaokusaidia kwa haraka ni wale unaofanana nao hali ya maisha. Ishi vizuri na watu ambao unafanana nao hali ya maisha.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Sisi masikini tunahifadhi namba za simu za watu ambao wamefanikiwa kimaisha na wengine wameinuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali za uongozi. Tunafanya hivyo tukidhani kwamba siku tukipatwa na shida yoyote watatusaidia.
Wakati mwingine tunawapost mara kwa mara kwenye akaunti zetu (status) za mitandao ya kijamii ili kujionyesha kuwa tunajuana nao, au kuwapa sifa ili kama kuna uwezekano wowote watukumbuke kwenye mavuno yao.
Hata hivyo ukipatwa na shida yoyote unagundua kwamba watu wanaokusaidia kwa haraka ni wale unaofanana nao hali ya maisha. Ishi vizuri na watu ambao unafanana nao hali ya maisha.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM