Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Hatari mno!Maandamano yaliyofanywa na Polisi kwa niaba ya Chadema yalisaidia sana kuipaisha Chadema kwa kuileza dunia kwa vitendo ni nini Chadema inailalamikia serikali ya CCM jinsi inavyotumia mabavu ya vyombo vya dola kukandamiza upinzani, tena wamefanya hivyo kwa gharama ya Serikali yenyewe.
Vibwengo kama wewe tunakupuuza tu. CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendeleza utawala wake wa kidhalimu.waliotaka kuandamana ni wahuni tu ndiyo maana chama chenye akili nyingi ccm kikagundua mapema hila za wahuni
Bila polisi hakuna ccmNyuzi za mwashambwa siku hizi zimepungua saana.subiri amshaamsha za uchaguzi ndo utajua.
Tathmini yetu (ambayo ni ya uhakika) inaonyesha kwamba Umaarufu wa Chadema umeongezeka kwa zaidi ya 25% kuelekea kwenye Robo ya Mwisho wa Mwaka, huku ikipanda kutoka 60% kutoka ilipokuwa kwenye Robo ya 3 hadi 85% kwenye Robo hii ya 4 na kuipiku ripoti ya Twaweza ya 2017
View attachment 3113187
Jeshi la polisi linatajwa kuifuatia Chadema kwa mbaaali sana likiwa limejinyakulia 10%,
View attachment 3113183
Huku 5% iliyobaki ikigawanywa miongoni mwa viongozi wa Kitaifa, Vyama vingine havikuambulia chochote.
Wadau wanataja sababu za Chadema kuendelea kutamba Nchini Tanzania ni kutokana na Mikakati ya Chama hicho kuamua kuwashirikisha Wananchi wote kwenye mipango yake, huku wengine wakilitumia Jeshi la Polisi kujibu hoja za kisiasa bila Mafanikio, kinyume kabisa cha masuala ya kisiasa yanavyoelekeza (Hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, Mabomu hayawezi kuzima mijadala)
Mwisho, lakini si kwa Umuhimu, Tunaipongeza Chadema kwa kuziteka Siasa za Tanzania kwa kipindi kirefu na tunaitakia kila la heri .
Ujumbe: Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpya
Angekubalika angeingiza Jeshi barabarani Nchi nzima?Maandamano yaliyofeli juzi kwa kushuhudia idadi ndogo zaidi ya wanachama wetu waliojitokeza wasiozidi 14 tu ikiwemo Mbowe na binti yake ni KIPIMO TOSHA kuthibitha Chadema tumepoteza ushawishi mkubwa sana kwa Watanzania
Hii ni alarm kubwa sana ya kutufanya sisi wanachama na viongozi wetu kurudi kwenye drawing board kujitafakari upya tumefeli wapi kwenye ushawishi kwa WaTz ndani ya utawala huu wa MamΓ‘:
1. Je ni ushawishi na ukubalikaji wa MamΓ‘ umeongezeka kiasi ndio umewapumbaza WaTz..!??
2. Au Chadema tumeishiwa hoja shawishi mbele ya wananchi na wanachama wetu..!??
3. Au WaTz wana kinyongo na sisi namna tulivyokuwa tunashangilia kifo cha Hayati JPM, Raisi jasiri na aliyetokea kuwa gumzo Γfrica nzima kwa uchapakazi na uzalendo uliotukuka..!??
Katiba mpya ndio unaita Petty issues?Sijui hayo unayosema ukweli wake ila nafahamu kwambo Politics / Politicians na Political Parties zinazidi kupoteza mvuto duniani kwa watu wengi na moja ya sababu ni kwa wahusika ku deal na petty issues na sio mambo yanayamgusa raia moja kwa moja....
No wonder kila siku mnalalamika watu wamejikita kwenye miziki na mipira..., the former has got nothing to offer....
Na kinachoendelea kinaleta vipi Katiba Mpya ? Mnajua kabisa Rasimu ya Katiba ya Sita iliyoletwa Mezani ilipinduliwa na aliyekataa Serikali Tatu kutoka Zanzibar mmojawapo ndio huyu Rais wa Sasa..., Sasa mnategemea kinachowekwa mezani ni kipi ? na kitakachopigiwa Kura ni kipi ? Na mwisho wa siku ni kipi kitapita and how ?Katiba mpya ndio unaita Petty issues?
Mmepanga kuniua kama Ally Kibao?Unazidi kupaa kwenda mbinguni kwa baba
Hivi serious kabisa wenyewe mnafarijika hapa na hivi vimada vyenu???!!!!! Hao wazee na jumbe za kejeli ulizorusha hapo, kwa akili Yako, zinawainua kipindi hiki?!!! Nimeona nyumbu wenzio wamekuja mbio kuunga mkono hoja pasipo na uwezo wa kung'amua athari zake hasi.Nadhani wewe ndio huna akili
90% ya Wabunge wa Chadema walitokea Vijijini, Hili nalo wakumbushe waliokutumaHivi serious kabisa wenyewe mnafarijika hapa na hivi vimada vyenu???!!!!! Hao wazee na jumbe za kejeli ulizorusha hapo, kwa akili Yako, zinawainua kipindi hiki?!!! Nimeona nyumbu wenzio wamekuja mbio kuunga mkono hoja pasipo na uwezo wa kung'amua athari zake hasi.
Jingine, nakudokeza tu kama msamaria mwema, wengi tuliopo humu ni watu wazima tutakao vijijini hukoooo wenye wazazi wazee wengi tena wasio na hata ujuzi wa kuandika...............kebehi na matusi kama haya kwa wazee wetu wabatukera kweli (kimya kimya lkn bila wewe mwenyewe kujua). Nafikiri umenielewa hapa..........byuti byuti!!!!!πππππ
Bahati nzuri mi situmwi, Nina akili huru sio kawa wewe ambaye Huna jinsi Bali kunena Yale yatakayowafurahisha mbowe, lissu na nyumbu wengine.90% ya Wabunge wa Chadema walitokea Vijijini, Hili nalo wakumbushe waliokutuma
Chadema mnajua uchaguzi wa serikali za mitaa ni wiki ijayo?CCM inazidi kupotea kwa ushirikina
vyama si vipo 19 why CHADEMA?Chadema mnajua uchaguzi wa serikali za mitaa ni wiki ijayo?
Na hamna maandalizi yeyote mliyofanya mumekalia porojo mitandaoni
Shauri yenu
Vingine vinejiandaa uchaguzi wa serikali za mitaa Chadema naona tu porojo mitandaoni mitaani hawaonekani kusaka kuravyama si vipo 19 why CHADEMA?
ππππVingine vinejiandaa uchaguzi wa serikali za mitaa Chadema naona tu porojo mitandaoni mitaani hawaonekani kusaka kura
Sasa ndiyo mshinde kirahisi, mbona mnalalamika tena?Vingine vinejiandaa uchaguzi wa serikali za mitaa Chadema naona tu porojo mitandaoni mitaani hawaonekani kusaka kura
Sawa asanteSasa ndiyo mshinde kirahisi, mbona mnalalamika tena?