ila Magufuli alisema kua museveni ni kijana wake. sasa sijui itakuajeUganda Kuna Corona, hatuwezi kuwapokea kwa sasa, waende Kenya
Ngoja tusubiriila Magufuli alisema kua museveni ni kijana wake. sasa sijui itakuaje
kwahyo wakizingua tupeleke majeshi yetu kutuliza amani na kuwafanya nchi mtoto ya tanzania!?.Uganda ilitakiwa iendelee kuwa jimbo chini ya Tanzania baada ya kumwondoa nduli Idd Amin angalau kwa miaka 20, ile vita ilitugharimu sana. Sasa badala ya kuwa wapole wajenge nchi yao wanaanza vituko...
Mjukuu kabisaaa ili akiinua kichwa tu konzi!!kwahyo wakizingua tupeleke majeshi yetu kutuliza amani na kuwafanya nchi mtoto ya tanzania!?.
zipo mkuu zimeload kweli kweliLet them come ,kwanza,kagera shinyanga,Mara ,
Ingawa Uganda hawana pisi Kali,ungekua Kama Eritrea hivi,wangekuja hata wote maana kule Wana pisi Kali Sana,bongo ni kubwa kinyama chalii yangu,unatoka nyamwage pwani njia ya kwenda wilayani rufiji makao makuu,kilometa 35 hakuna hata nyumba ,ni mapori tu.tutawapa huko.
Uganda Kuna Corona, hatuwezi kuwapokea kwa sasa, waende Kenya
Ili wawe wapole wanatakiwa wafanye nini?Uganda ilitakiwa iendelee kuwa jimbo chini ya Tanzania baada ya kumwondoa nduli Idd Amin angalau kwa miaka 20, ile vita ilitugharimu sana. Sasa badala ya kuwa wapole wajenge nchi yao wanaanza vituko...
Hivi ilikuwaje tukatumia gharama kubwa namna hiyo kumwondoa tu mtu madarakani, nafikiri kwa sasa intelejensia na teknolojia vimekuwa sana kuweza kuwathibiti watu wa aina ya nduli Idd Amin...Ili wawe wapole wanatakiwa wafanye nini?