Tumejiandaaje kuwasikiliza Leo Wachambuzi Uchwara wa Uchumi ambao baada ya Bajeti Kusomwa watahojiwa na wataisifia ili Teuzi zijazo Chura awakumbuke?

Tumejiandaaje kuwasikiliza Leo Wachambuzi Uchwara wa Uchumi ambao baada ya Bajeti Kusomwa watahojiwa na wataisifia ili Teuzi zijazo Chura awakumbuke?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wachambuzi pekee wa Uchumi ambao niliwakubali na nitawakubali ni Mzee Lipumba, Marehemu Ngowi na aliyekuwa Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu wa Somo la Uchumi Chuoni SAUT Mwanza Luzangi, ila wengine Wote kamwe sitopoteza muda Wangu kuwasikiliza kuanzia na Mchumi Mpuuzi Mmoja wa Saa 11 Jioni ya Leo mpenda Waganga wa Kienyeji na kufanya Mikafara.
 
Wachambuzi wote wa siasa na uchumi Tanzania ni machawa wa chura wa Kizimkazi!
 
Wachambuzi pekee wa Uchumi ambao niliwakubali na nitawakubali ni Mzee Lipumba, Marehemu Ngowi na aliyekuwa Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu wa Somo la Uchumi Chuoni SAUT Mwanza Luzangi, ila wengine Wote kamwe sitopoteza muda Wangu kuwasikiliza kuanzia na Mchumi Mpuuzi Mmoja wa Saa 11 Jioni ya Leo mpenda Waganga wa Kienyeji na kufanya Mikafara.
chura huwa mnammaanisha nani haswa?
 
Wachambuzi pekee wa Uchumi ambao niliwakubali na nitawakubali ni Mzee Lipumba, Marehemu Ngowi na aliyekuwa Mwalimu ( Mhadhiri ) wangu wa Somo la Uchumi Chuoni SAUT Mwanza Luzangi, ila wengine Wote kamwe sitopoteza muda Wangu kuwasikiliza kuanzia na Mchumi Mpuuzi Mmoja wa Saa 11 Jioni ya Leo mpenda Waganga wa Kienyeji na kufanya Mikafara.
hilo ni given na kwa taarifa za kiintelijensia Mwigulu kashawaweka sawa baadhi ya madokta mshenzi ili tu akimaliza waanze kujipitisha pitisha kwenye media huko kuisifia jinsi ilivyonzuri huku mamilioni ya watanzania wakilala na njaa, Bongo bahatimbaya.
 
Wapo hata wanasiasa wa vyama vya upinzani watahojiwa na kusema bajeti ni nzuri. Ni nzuri kwa mtazamo wao
 
Back
Top Bottom