Tumejipangaje kuishi katika Utawala wa Trump?

Tumejipangaje kuishi katika Utawala wa Trump?

kunowa

Member
Joined
Oct 30, 2024
Posts
33
Reaction score
46
Hapo Jana, Trump ameapishwa kama raisi wa 47 wa U.S, moja ya hatua alizochukua ni kuitaka U. S kujiondoa haraka Sana WHO.

Hakuna asiejua kuwa America inamchango mkubwa Sana kwenye budget ya shirika hili, na wote tunakubaliana kuwa who ina umuhimu Sana katika Ku pambana na Changamoto za Afya, hasa magonjwa kama HIV, TB, COVID-19🦠, malaria, Ebola n.k

Kujitoa kwa America kwenye shirika hili ni Changamoto kubwa ktk ulimwengu wa tatu.
Sasa je tumejipanga na hili?

Hii ni hatua moja tu ya Trump kwenye UGA wa ki mataifa, tutegee hatua nyingi zaidi zenye athari kwetu.

Yote ya yote, huenda mungu amemrudisha Trump kuwapa somo watawala wa ulimwengu wa tatu kutumia rasilimali tulizonazo vizuri kwa maendeleo ya watu wao, kuwa wasiweke maisha ya watu wao kwenye mikono ya watu wengine. Kuwa hakuna Masada wa kudumu hivyo cha muhimu ni kujitegenea.

Asante, Tumejaduli Sana CCM na Chadema sasa tujadili tunasongaje mbele katikati ya Sera hizi za Trump.
 
huenda mungu amemrudisha Trump kuwapa somo watawala wa ulimwengu wa tatu kutumia rasilimali tulizonazo vizuri kwa maendeleo ya watu wao, kuwa wasiweke maisha ya watu wao kwenye mikono ya watu wengine. Kuwa hakuna Masada wa kudumu hivyo cha muhimu ni kujitegenea
🙌
 
Mbona covid tuliimaliza kwa kula malimao na tangawizi? Tutatumia mitishamba ya kienyeji
 
Hapo Jana, Trump ameapishwa kama raisi wa 47 wa U.S, moja ya hatua alizochukua ni kuitaka U. S kujiondoa haraka Sana WHO.

Hakuna asiejua kuwa America inamchango mkubwa Sana kwenye budget ya shirika hili, na wote tunakubaliana kuwa who ina umuhimu Sana katika Ku pambana na Changamoto za Afya, hasa magonjwa kama HIV, TB, COVID-19🦠, malaria, Ebola n.k

Kujitoa kwa America kwenye shirika hili ni Changamoto kubwa ktk ulimwengu wa tatu.
Sasa je tumejipanga na hili?

Hii ni hatua moja tu ya Trump kwenye UGA wa ki mataifa, tutegee hatua nyingi zaidi zenye athari kwetu.

Yote ya yote, huenda mungu amemrudisha Trump kuwapa somo watawala wa ulimwengu wa tatu kutumia rasilimali tulizonazo vizuri kwa maendeleo ya watu wao, kuwa wasiweke maisha ya watu wao kwenye mikono ya watu wengine. Kuwa hakuna Masada wa kudumu hivyo cha muhimu ni kujitegenea.

Asante, Tumejaduli Sana CCM na Chadema sasa tujadili tunasongaje mbele katikati ya Sera hizi za Trump.

Mimi naona tuyakabidhi maisha yetu kwa Bwana Yesu, hata tukifa kwa hayo magonjwa twende mbinguni tukaishi na Bwana milele. Maisha ya duniani ni ya kitambo tu. Hata tusipokufa kwa TB tutakufa kwa ajali, hivyo tuyaweke maisha yetu kwa Mungu. Rum 14:8

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Hapo Jana, Trump ameapishwa kama raisi wa 47 wa U.S, moja ya hatua alizochukua ni kuitaka U. S kujiondoa haraka Sana WHO.

Hakuna asiejua kuwa America inamchango mkubwa Sana kwenye budget ya shirika hili, na wote tunakubaliana kuwa who ina umuhimu Sana katika Ku pambana na Changamoto za Afya, hasa magonjwa kama HIV, TB, COVID-19🦠, malaria, Ebola n.k

Kujitoa kwa America kwenye shirika hili ni Changamoto kubwa ktk ulimwengu wa tatu.
Sasa je tumejipanga na hili?

Hii ni hatua moja tu ya Trump kwenye UGA wa ki mataifa, tutegee hatua nyingi zaidi zenye athari kwetu.

Yote ya yote, huenda mungu amemrudisha Trump kuwapa somo watawala wa ulimwengu wa tatu kutumia rasilimali tulizonazo vizuri kwa maendeleo ya watu wao, kuwa wasiweke maisha ya watu wao kwenye mikono ya watu wengine. Kuwa hakuna Masada wa kudumu hivyo cha muhimu ni kujitegenea.

Asante, Tumejaduli Sana CCM na Chadema sasa tujadili tunasongaje mbele katikati ya Sera hizi za Trump.
Hayo magonjwa uliyotaja ni biashara kwa makampuni ya Marekani, hizo Covid na zingine ni biasharavkwao, hivyo wanavyotoa pesa WHO ni sawa na mtu anavyosponsor timu ya mpira, kuna masharti kwamba dawa zote zinunuliwe toka kwao nk…., na tena mnapewa mikopo ya chanjo kwa lazima..
 
Kutunza Afya, kuepuka ngono zisizo salama, kula vizuri na akifanya mazoezi. Nitaendelea kubadili ratiba kadiri upepo wa Trump unavovuma.
 
Back
Top Bottom