Tumekubali siasa 2020 ila figisu hazivumiliki jamani

Tumekubali siasa 2020 ila figisu hazivumiliki jamani

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
Ipo haya, Katiba mpya ingeruhusu ile mikoa inayoongozwa na vyama fulani(upinzani),viwe vinatoa mpaka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya. Maana uwezi ukawa na asilimia kubwa ya watawala katika mkoa fulani alafu wanakuja wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa wote ni makada wa CCM ,maana mikwaruzano kama hii haitaisha na pia nadhani inaweza kuwa ni njia ya ushindani wa kimaendeleo kwa mikoa kwa mikoa inayoendeshwa na vyama tofauti.

By mr mkiki........
 
Hata ungewaandikia barua toka mbinguni live,watanzania wengi vichwa vimejaa moshi.

sema mr mkiki sms nzuri xna na wachache watakuelew
 
Back
Top Bottom