Kuna Biashara huguswi na TRA si kwa kukwepa bali utaratibu wake tu mfano una shamba laMifano miwili ya biashara imetajwa hapa, na yote ina viashiria vya kukwepa kulipa kodi. Pengine mtupe mifano inayoonesha gharama zote na kodi ikiwamo ili kupata picha ya faida na pia kuwa na amani dhidi ya kuja kukamatwa na serikali.
Hapo hupati mapato?Kuna Biashara huguswi na TRA si kwa kukwepa bali utaratibu wake tu mfano una shamba la
kuku kweli utaenda kulipia TRA?
Ulishajaribu kufikiria wazo la kupeleka Comoro?Labda uzisambaze Kimataifa, hapa Bongo nimefanya wanakopa sana.
Uturuki ndiyo walikua wanunuzi wazuri wa korosho na wao na Wahindi ndiyo husambaza Ulaya. Jaribu kutafuta soko Uturuki kupitia ubalozi.Wazo la Comoro lilikuwepo lakini si kwa biashara ya Korosho kuna vitu vingine tu
nilielekezwa na watu wa Chamber of Commerce.
Itakuwa mkaa Kwa alivyochanganua tuHiyo biashara ya milioni 4 ni ya nini Mkuu? Pengine tunaweza kujifunza with vivid examples.
Mkuu kwa taarifa yako tu ni Kwamba kwa sasa kodi za hii nchi sio rafiki hata kidogo na wafanye biashara wengi wamechemka tumebaki wale wazee wa timing tu wewe unadanganywa kua mzalendo wa kulipa kodi wakati wamiliki wa magogoni hawalipi kodi kazi yao ni kuitumia hiyo kodi yako vibaya na kujilimbikizia marundo ya fedha kwaajiri ya maisha yao ya baadae we jifanye mzalendo tuoneMifano miwili ya biashara imetajwa hapa, na yote ina viashiria vya kukwepa kulipa kodi. Pengine mtupe mifano inayoonesha gharama zote na kodi ikiwamo ili kupata picha ya faida na pia kuwa na amani dhidi ya kuja kukamatwa na serikali.
Ukweli ni kuwa na amani wakati unatengeneza pesa na kuendesha maisha. Wizi wa wanasiasa nauelewa, na ni sisi wenyewe ndio tunawakabidhi mamlaka makubwa kuliko inavyostahili.Mkuu kwa taarifa yako tu ni Kwamba kwa sasa kodi za hii nchi sio rafiki hata kidogo na wafanye biashara wengi wamechemka tumebaki wale wazee wa timing tu wewe unadanganywa kua mzalendo wa kulipa kodi wakati wamiliki wa magogoni hawalipi kodi kazi yao ni kuitumia hiyo kodi yako vibaya na kujilimbikizia marundo ya fedha kwaajiri ya maisha yao ya baadae we jifanye mzalendo tuone
Wewe mwenyewe ndio wale wale tu, mbona wewe haujafunguka hiyo biashara huyo mdau anayoifanya umeishia kutufanyia hesabu tuFursa zipo sana tu tatizo watu hawataki kufunguka yaani Utafiti nilioufanya umenifanya
nigundue fursa nyingi sana. Tuwape nafasi hapa watu wafunguke.
Mimi natambua Sana umhinu wa kulipa kodi lakini Kwa Sasa wacha niwe kati ya wakwepa Kodi no way coz Serikali imeshindwa kuweka mazingira mazuri kwa mlipa kodi wake mfano Huku kanda maalumu mfuko kg 50 wa Cement twiga unauzwa 21000 tz Kenya mfuko wa ujazo huo huo unauzwa 13000 na kuipata hiyo Cement toka Kenya ni Easy tu Sasa sijui hapa ntautoa wapi huo moyo wa uzalendoUkweli ni kuwa na amani wakati unatengeneza pesa na kuendesha maisha. Wizi wa wanasiasa nauelewa, na ni sisi wenyewe ndio tunawakabidhi mamlaka makubwa kuliko inavyostahili.
Wanaanza kuuchambua kitaalamu.Nenda jukwaa la biashara na kilimo kuna mengi watu wameyaweka yamejilalia tu.Yaani muda mwingine ndo maana baadhi ya wadau hawataki kuanzisha nyuzi za kushare michongo maana wengi watapita kimya kimya kama hawauoni. Hao hao wanaoupita ndo wanakuja kulialia hali ngumu.