Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
- Thread starter
-
- #21
Hahahahhah umepanic hahahaha...... Poleni sana mchezo huu hauna asila. Hatakama ni ukweli vumilia ili usemwe kisha chutama kwa kukili umekosea kutuleta mtu huyu.Sahau kuhusu Tanzania, hayo majaribio fanyianeni huko huko ufipa
Hata kuandika huwezi??🤣🤣🤣 eti"rudhuku "!🤣🤣🤣 ni RUZUKUHawapo serious na kuongoza nchi zaidi ya kuleta masihala ili wapate rudhuku
CCM ingekuwa imetoka madarakani mapema tungekuwa mbali sana,kuendelea kuongozwa na CCM tumesimama kimaendeleo ambapo tungetakiwa tuwe miaka 50 mbele huko!Yaani maendeleo tutakayokuwa nayo 2070 ni maendeleo ambayo tulipaswa kuwa nayo leo!CCM ni dimbwi la umasikini kwa watanzania!Wote wezi tu na wanaiba kila mmoja kwa stye yake!Uongozi haujaribiwi. Kuipa nafasi saccos, ni kujirudisha nyuma miaka 50.
Hahahahaaa......Nashukuru kwa kunirekebisha mkuu. Je,umeridhika na mawazo yangu?Hata kuandika huwezi??🤣🤣🤣 eti"rudhuku "!🤣🤣🤣 ni RUZUKU
Kumchagua tena huyu mtu ni
Kuweka vijana wa kitanzania katika wakati mgumu sana kiuchumi na kimaisha.
Tena anataka kubadili katiba kuwa Rais siiye na kikomo cha utawala.
i.Anaisigina katiba atakavyo
ii. Watu wanapita bila kupingwa.
iii.wapinzani wanakatwa hovyo kwenye chaguzi.
iv. Kununua wapinzani.
V.kuteka kubambkia kesi wapinzani kuwafunga kuwadhurumu mali na vitisho rukuki.
JIWE OUT
Hapana umeandika kwa marhaba kuliko uhalisiaHahahahaaa......Nashukuru kwa kunirekebisha mkuu. Je,umeridhika na mawazo yangu?
Uhalisia ni upi?Hapana umeandika kwa marhaba kuliko uhalisia
Mbona tumefanya majaribio kwa mshamba wako MagufuliNchi haifanyiwi majaribio kwa kukabidhiwa kwa washamba wa wazungu kila kukicha ni kulia lia na kutetea mabeberu
Sasa hapo aliye sirious ni yupi maana ukichukua cdm ndiyo usanii mtupu wa dj na lissu wake labda nccr ya mbatiaHawapo serious na kuongoza nchi zaidi ya kuleta masihala ili wapate ruzuku
Palehatukukosea lile jembe hao wanaopiga kelele na kutukana wasubiri kwanza tujenge nchiMbona tumefanya majaribio kwa mshamba wako Magufuli
Chadema hata kujiongoza wenyewe imekuwa shidaLugha nzuri yenye kuja hofu,kiukweli mnapenda kuitumia ili kuwatia hofu watanzania. Lakini kwa sasa tunahitaji chama mbadala wa CCM ili kuiondolea ile hali ya umungu mtu ccm na viongozi wake.
Unakosea,mh amekwisha poteza haki ya kuongoza tena. Ameonesha kupwaya kwenye nafasi aliyopewa. Kunahaja ya kubadilisha mwingine ambaye ni Tundu A. LissuHata kumi anastahili mitano kitu gani ... wabongo ni mapopoyo wavivu sana wanapenda wakae zao baa ata asubuhi ya j3 wapinge mbege, wacha Pombe awanyooshe watu wavivu wa kufikiri wanaowaza starehe tu.
Mjenge nchi au mjenge Chatopalehatukukosea lile jembe hao wanaopiga kelele na kutukana wasubiri kwanza tujenge nchi
Ni wakati wa kuipumzisha ccm.Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
Tena inajitahidi sana,tunapaswa kuwapongeza. Ruzuku wanayopokea ni kiasi kidogo sana tukilinganisha na kazi kubwa ya kuwatoa matongotongo mtu kama wewe,pia ukilinganisha na ujenzi mkubwa wa taasisi yenyewe kuifanya kuwa imara. Hongereni sana CHADEMA kwa kazi kubwa mnayoifanya.Chadema hata kujiongoza wenyewe imekuwa shida
Chama kinapokea ruzuku kila mwezi m 300!
Siyo kujenga ofisi tu, hata mabango ya mgombea wao wa urais wameshindwa!
Lisa, chama hakina pesa