Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
- Thread starter
-
- #81
Safari hii hakuna kukubali kuibiwa kura mkuu mwanzo mwisho.CCM imejiandaa kushinda kwa hali yoyote. Ilipoka uenyeviti mitaa na vijii, itapoka udiwani, ubunge na urais. Hapatakuwa na wa kumwambia hapo mnapotea, na ndio muendelezo wa anguko la uchumi na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Historically tawala za aina hii haziondolewi kwa sanduku la kura, bali kwa nguvu ya umma. Na kwa Tanzania hatua hiyo bado sana.
Kwa sababu Jaji mkuu alichaguliwa ufipa.......hakuna rangi taacha kuona mwaka huuBunge likivunjwa, nchi ikabidhiwe kwa Jaji Mkuu mpaka baada ya uchaguzi Rais atakapopatikana. Hii itawapa wagombea wote a fair game.
Inapendeza ukaweka na viambatanisho vya malalmiko yakoKumchagua tena huyu mtu ni
Kuweka vijana wa kitanzania katika wakati mgumu sana kiuchumi na kimaisha.
Tena anataka kubadili katiba kuwa Rais siiye na kikomo cha utawala.
i.Anaisigina katiba atakavyo
ii. Watu wanapita bila kupingwa.
iii.wapinzani wanakatwa hovyo kwenye chaguzi.
iv. Kununua wapinzani.
V.kuteka kubambkia kesi wapinzani kuwafunga kuwadhurumu mali na vitisho rukuki.
JIWE OUT
Sasaivi kuna mgao wa umeme usio rasmi umeanza Tanzania, yote haya ni kuzuia wananchi kupata Habari za Tundu Antiphas Lissu!!Binafsi kwangu inamtosha, tuwape wengine tuone. Sisi sote ni wamoja tuwape CHADEMA nao tuone.
Kuna watu wachache wanasema uongozi haujaribiwi! Miaka yote uwa tunawateuwa viongozi wetu kwa kuwa jaribu katika nafasi zao wanazotuomba tuwape kura.
Ndani ya vipindi vyao vya uongozi ndipo tunakuja kugundua ya kuwa awafit. Mfano mzuri kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa mtukufu wetu.
Yeye ameshindwa kuongoza kwa kushindwa kutambua na kutofautisha kati ya uongozi na utendaji.
Uongozi Umekuwa kama udereva lazima wakutest kisha upatiwe leseni ya kuweza kuendesha abiri.
Mwisho wake ni 28/10Sasaivi kuna mgao wa umeme usio rasmi umeanza Tanzania, yote haya ni kuzuia wananchi kupata Habari za Tundu Antiphas Lissu!!
Kaweka sheria mbovu na kandamizi kumzuiaLissu hajafanikiwa, Kapiga marufuku drones hajafanikiwa, kazuia Lissu kutumia helicopter hajafanikiwa. Sasa kaamua kuanzisha mgao wa umeme, na bado Hatofanikiwa.
Watanzania tumeshaamua kwenda na Lissu mwaka huu. Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Kipi ambacho kisicho fahamika kwa jiwe na wazee wa ndiyo ipite.... Tunafahamu mnacho kipanga.Inapendeza ukaweka na viambatanisho vya malalmiko yako
Itapendeza sana na utakuwa umeeleweka zaidi,nje ya hapo ni porojo tu