Tumekwisha....Mkuu wa kituo cha polisi mbaroni kwa ujambazi

Idimi

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2007
Posts
15,328
Reaction score
11,192
Chanzo: www.ippmedia.com
Sasa kama mpaka Mkuu wa kituo anashiriki ujambazi, sie wananchi tusiojua hata moja kuhusu matumizi ya silaha tutajilindaje?
 
Hawa maafande mbona tulishawazoea. Huyo wameamua kumtoa kafala, au alikuwa hajawasiliana na wakuu wake.
 
hee heee nimeipenda hiyo..yanii alikua hajwasilianan na wakuu wake hivyo hata wakuu nao wanaweza kuwa huwa wanahusika na mambo ya ujambazi na wizi...halafu na sie wa tanzania tumeweka imani kuwa twalindwa nao..tena tukio likitokea twawapigia na simu....
 
''Kwa sasa ni mapema mno kusema kwa kina kuhusiana na tukio la kukamatwa kwake lakini nitatoa taarifa kwa vyombo vya habari baada ya uchunguzi kukamilka... Nisingependa kumhusisha moja kwa moja kuwa amekamatwa kwa kushiriki ujambazi,'' alisisitiza Kamanda Msika.
ILIPOTOKEA WANANCHI KUVAMIA VITUO VYA POLISI WENGI WALISEMA SERIKALI IJIULIZE KWANINI WANANCHI WANAVAMIA VITUO VYA POLISI?
LEO NAMIMI NASEMA HIVI KWANINI POLISI WETU WAJIHUSISHE NA UJAMBAZI????NI WAKATI UMEFIKA KWA SERIKALI YETU WAKIWEMO VIONGOZI WA JUU HUKO POLISI(AMBAO WENGI WAO MISHAHARA YAO NI MIKUBWA TOFAUTI NA WAPIGANAJI WENGINE)KUJIULIZA NA KUTUPATIA MAJIBU KWANINI POLISI WANAJIHUSISHA NA UJAMBAZI?KUWAFUKUZA SIYO KUTATUA ILA CHANZO NININI?MASLAHI DUNI?WAKUU WAO KUJILIMBIKIZIA MALI?KUDANGANYWA KILA LEO KWA SERA ZA KIANA MWAPACHUe.g(mfuko wa afya kwa polisi)MAKAZI DUNI KAMA YA MBWA?KWA MUJIBU WA NINAVYOONA MIMI TATIZO KUBWA NI UGUMU WA MAISHA WALIONAO ASKARI WA VYEO VYA CHINI.HEBU JIFIKIRIE ASKARI ANAPEWA TSH 105,000(LAKI MOJA NA ELFU TANO)NDO MSHAHARA WA ASKARI POLISI TUNAYEMTARAJIA AKAKOSWEKOSWE NA RISASI WAKATI ANAPIGANIA MALI ZA RAIA(WAKIWEMO MAFISADI)UNAFIRI MWISHO WA SIKU ATAFIKIRIA NINI?KAMA WAKUBWA WENGI SERIKALINI WANAJIPATIA FEDHA ZA KUTOSHA KWA NJIA ZISIZO HALALI ITAKUWAJE KWA HUYU POLISI?JE ATEGEMEE MSHAHARA WAKE WA LAKI MOJA AFE KWA NJAA AU AUNGANE NA MAJAMBAZI?UNATEGEMEA WATOTO WAKE WATASOMA VIPI?KUMBUKENI MAPOLISI WA CHEO CHA CHINI NDIO WANAOKAA FRONT KTK MATUKIO YA UJAMBAZI HUKU WAKUBWA WAO WAKIWA NA REDIO CALL OFISINI.ASKARI WADOGO TUNAPOWAPA KIJIMSHAHARA KAMA HICHO MATOKEO NDO KAMA HAYO!!
KWANZA TUSHUKURU MUNGU BADO WANA NIDHAMU KWANI KTK NCHI AMBAYO HAITHAMINI ASKARI WAKE WA CHINI TANZANIA NI MOJAWAPO.SASA HUYO ASKARI ANATHAMINI VIPI NCHI AMBAYO HAIMTHAMINI?AKIENDA VITANI ATAPIGANIA VIPI NCHI AMBAYO HAIMTHAMINI?MBUNGE,WAZIRI,MKURUGENZI.MAKATIBU WAKUU NA WENYE MIVYEO MINGI TANZANIA NDIO WAKAE FRONT KWENYE VITA KWANI WAO NDIO NCHI INAONA UMUHIMU WAO NAWAO WATAONA UMUHIMU WA KUIPIGANIA NCHI YAO.SIWALAUMU SANA MAPOLISI HASA WA VYEO VYA CHINI KUWA WALA RUSHWA VINGINEVYO WAISHI VIPI?

"HII NDIYO HIVYO NDIVYO YANGU"
 


Huenda suala hili lipo, si unaona kesi inayomkabili afande Zombe? Si inasemekana aliwaua raia na kuwasakizia ujambazi?
 
Chanzo: Tanzania Daima, 21/01/2007



Nashindwa kuelewa shida ilipo haswaa!
Sasa kama mpaka walinzi wetu wa amani wanashiriki kutunyang'anya kile tulichowakabidhi kutulindia tukimbilie wapi?
Shida iko wapi haswa kwa hawa walinzi wetu?
1. Ni tamaa zinawatuma kupata utajiri wa haraka haraka?
2. Ni mishahara haiwatoshi?
3. Kuna mtu kawatuma?
4. Walikwenda kulipiza kisasi?

Nini chanzo cha kadhai hii?
 
Habari za wakuu hawa kushiriki kwenye ujamabazi tumekuwa tukizisikia mara kwa mara, lakini indirectly, ila hii ya mkuu kuingia front mwenyewe ni kali!!!!!! - Sidhani kwamba udogo wa mshahara unaweza kujustify vitendo kama hivi!!!!!!!!
 
Mh, kwani mlikuwa hamjui kuwa ili uwe OCS au OCD kagera lazima uwe mzee wa kazi!
 
HUUU NI MCHANGA WA MACHO WANA JF....
HATA HUYU BASI NAKUPONGEZA MKUU MMOJA ALISEMA AKUSHIRIKIANA NA MKUU WAKE,,VINGINEVYO ASINGETOLEWA KAFARA..WAPI

1)) YULE MKUU WA POLISI PALE KILIMANJARO SASA YUKO MAKAO MAKUU
AMEORODHESHA MAGARI YA KUTUPA ,NA HIVI SASA TUNAMWACHIA MUNGU,,

2))WAPI YULE MKUU WA POLICI SHINYANGA TUKADANGANYWA NA CHANGES NK,,,MPKA LEO HII
4))WAPI YULE BIBI YAKE OMAR MAHITA ALIEKUWA AMEMPA URAHISI WA MILELE KULE TANGA ALIPOKUJA WEMA AKAAMBIWA MENGI TU JUU YAKE KAISHIA KUMBADILISHA..

Mwisho ninachoona hapa ni kwamba huyu bwana atapelekwa tu KIRARACHA na kuendelea cheo chake.....

....KUMBUKENI MKUU WA POLISI (MWEMA))ALIKUJA NA MBWEMBWE NYINGI KUBADILISHA MAPOLISI NA MENGINEYO...HAKUNACHA ZIADA KILICHOFANYIKA

NAMTAKIA HERI HUYU BWANA ASITUPWE KWELI KIRARACHA MAANA HAKUNA DILI KABISA .......
 

Kama huku ndiko tulikofikia, basi balaa hili ni kubwa kuliko ninavyodhani!
 
Hili sio jambo la kushangaza hata kidogo hapa Bongo.Zipo habari mitaani kuwa hata baadhi Ma RPC wana vijana wao wa kazi ambao huwa wanatakiwa kuleta commission ya mapato yao monthly ili waendelee kulindwa.Huyo wa Chato ni mchezo wa kuigiza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…