Elections 2010 Tumelinda na hawajachakachua

Munru

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
1,340
Reaction score
666
shughuli haikuwa nyepesi wana JF kwani imetuchukua zaidi ya masaa 7 kuccomand matokeo yawe released na kuhakikisha kuwa hakichakachuliwi kitu..
mbunge wetu Msigwa ( CHADEMA -iringa mjini ) kapita..ila madiwani ndo kuna utata kura zimehesabiwa upya kwani hatukujua kimetokea nini ila madiwani wetu wameshindwa..mbunge wetu katuaidi mambo yatakuwa poa zaidi..
:israel:
 

Attachments

  • Image081.jpg
    199.1 KB · Views: 56
  • Image073.jpg
    212.8 KB · Views: 60
  • Image077.jpg
    141.9 KB · Views: 53
  • Image085.jpg
    205.5 KB · Views: 49
  • pic.jpg
    207.4 KB · Views: 55
Hongera sana wanairinga kwa moyo wa ushujaa.
 
Hongera sana wanairinga. tuafuraha sana kwa ajili yenu
 
kwamba wanamageuzi walikua wanapiga kura ya ubunge kwa chadema afu udiwani kwa ccm, sitegemei sehemu tulizoshinda ubunge tusipate majority katika udiwani, unless wachakachue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…