Makolo wanaua vipaji vya wazawa kama Ndemla
Ndemla alijiharibu mwenyewe kwwa kusikiliza sifa za wachambuzi uchwara, oohh, ana nguvu ya kupiga, mwishowe akawa kila mpira anataka kuubutua tu.
Kama mzamiru wanamuita kiungo punda mwishowe kawa chizi, anakaba wee kisha pasi mkaa, si mzamiru yasini yule aliyetoka mtibwa, msimu wake wa kwanza simba pale, national timu tulipoenda kucheza COSAFA kule tukawafunga wa south mpaka kocha wao akakasirika sio yule..
Wachezaji wengi wa kibongo hawana uprofeshenolizm, hawana njaa ya mafanikio, wanalewa sifa, wapi ajib, wapi mo cabaye yule anaujua haswa mpira lakini sasa hivi chaliii,
Kapombe, manula, samata, tshabalala si wanacheza simba, mbona viwango havijafa.
Wachezaji wetu kuvjmba kichwa, kupandisha mabega, cheki msuva na samatta walivyo na njaa ya mafanikio, wengjne hawana.